Kauli ya waziri mkuu sio ya kubeza au kuikejeri huyu ni wa pili baada ya Raisi na ni kiongozi wa government bussiness kwenye bunge ndo anae jibu chochote kinacho husiana na serekali bungeni.
kila analo ongea ni kutoka kwenye classified inner intelligence briefing za cabinet na serikali.
Kauli yake ya kusema wenye degree wasome veta kupata ujuzi zaidi huenda soon itakua government policy.
katika nchi ziliozo endelea mandalizi ya veta kujianda kupokea magraduate wengi ingekua zimesha anza ila Tanzania bado watendaji wa melala sijui kwanini.
@modorators plz acheni Uzi watu watowe maoni yao.
kila analo ongea ni kutoka kwenye classified inner intelligence briefing za cabinet na serikali.
Kauli yake ya kusema wenye degree wasome veta kupata ujuzi zaidi huenda soon itakua government policy.
katika nchi ziliozo endelea mandalizi ya veta kujianda kupokea magraduate wengi ingekua zimesha anza ila Tanzania bado watendaji wa melala sijui kwanini.
@modorators plz acheni Uzi watu watowe maoni yao.