Vevenononombo naingia Musoma, Wakurya mpooooo?

Vevenononombo naingia Musoma, Wakurya mpooooo?

vevenononombo

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2015
Posts
1,289
Reaction score
421
Leo niko kwa watu wa kazi musoma,mitaa maarufu Mukendo street,hata standi ya bweri nitafika,wapi mitaa ya uwanja wa ndege?
 
Hiyo NEWS ALERT ni ya nini? Inaibid adm watoe taarifa na maelekezo News Alert inatakiwa kutumika wapi otherwise haya ni matumizi nabovu.
 
Leo niko kwa watu wa kazi musoma,mitaa maarufu Mukendo street,hata standi ya bweri nitafika,wapi mitaa ya uwanja wa ndege?
Uwanja WA Ndege nenda Taratibu Hotel kalale Tata ILA waombe hata kichuri
 
Angalia asije kutapika au kutema mezani maana ile kitu first time au ukiambiwa venye inaprocessiwa huwezi Tia mkono.
Acha usimuogopeshe mbona sisi tunakula...hawezi tapika pole pole anashushia na busara!!!!!?
 
Angalia asije kutapika au kutema mezani maana ile kitu first time au ukiambiwa venye inaprocessiwa huwezi Tia mkono.
Acha uchinkaaa Mura kichuree kitamu tataa usimtisee mwensakooo wacha acheeee Tarime mura
 
Hiyo NEWS ALERT ni ya nini? Inaibid adm watoe taarifa na maelekezo News Alert inatakiwa kutumika wapi otherwise haya ni matumizi nabovu.
hapo kuna chimbo kama wa mambo yetu....ambassador club[show room]kuna piece za kimusoma hapo...then kiwanja kizuri za kula kuku ni free pack.then musoma beach au maltivila beach kumpumzika jioni hahahaha.check ngwengwe iko sana hapo maana wanawake ni wale wale.mzuri atapitiwa na kila mtu
 
Umeambiwa msoma kuna wakurya pekee?! msoma mjini wakurya ni kama 10 percent. wakurya 90 percent nenda tarime.
Asante watu wa musoma ni kamji kadogo lakini kazuri isipokuwa kuna haja ya kufanya kitu kwenye bandari ya musoma,Mkoa wa Mara unaongoza kwakuwa na makabila mengi nayajua,wasimbiti,wakwaya,waruri,wasweta,wajita,Wangolemi etc najua kiongoz na nimeshatoka musoma
 
Back
Top Bottom