Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond baada ya kufukuzwa vevo amerudi kupost video zake kwenye account yake ya kawaida. Vevo wamemtimua. Wanataka wanamuziki wazuti wa kimataifa kama wizkid na davido. Pia hawataki msanii asieweza kuimba kingereza. Sasa diamond anashuka wenzake kina wizkid wanapanda.
Ali kiba yeye ndo alishajifia kitambo. Naona wawakilishi wa tanzania kimataifa wamebaki wawili tu rayvanny na hamonize
Tena ya kiwango cha lamiChuki
Harmonize na Rayvanny wameimba wimbo gani wa kiingereza..!
Kula like za kutoshaTena hao ndio zero kabisa aka bashite 000
Mkuu umenena vema.. nimecheka vby mno[emoji23]ugumu wa maisha haujawahi kumuacha mtu salama!