vi-uvimbe usoni!

JamboJema

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
1,143
Reaction score
209
Nimetokewa...na natokewa na viuvimbe fulani usoni ambavyo ni vyeusi na haviumi. Ni vidogo sana kana upele kidogo lakini haviumi kabisa. Sasa uso wangu umekuwa kama nina madoa madoa madogo meusi mengi na kuniharibu ngozi. Naomba msaada jamani niviondoe vipi.
 
Je kuona yoyote kwenye familia yako aliye na hali kama yako?
 
Umri wako?..jinsia?..kama ni mwanamke..hapo ndo unakaribia kuingia hedhi. Na kesho au kesho kutwa utaona tumbo la chin lina kata. Linasokota ivi. Pole...usitumie chochote. Mi ni mtaalam wa magonjwa kina mama na watoto.
 
Je kuona yoyote kwenye familia yako aliye na hali kama yako?
Hakika sijamuona yeyote mwenye tatizo kama hili kwetu.....najishangaa

Umri wako?..jinsia?..kama ni mwanamke..hapo ndo unakaribia kuingia hedhi. Na kesho au kesho kutwa utaona tumbo la chin lina kata. Linasokota ivi. Pole...usitumie chochote. Mi ni mtaalam wa magonjwa kina mama na watoto.
Hahahahaaaa...! Umenifurahisha mtaalamu. Ila mimi ni ME sio KE. Asante.
 
uso wako una mafuta,si maanishi utafute muwekezaji,bali usijaribu kupaka mafuta usoni,uwe unakunywa maji sana,na uwe unaosha uso kwa maji ya uvuguvugu,na pia chemsha maji weka kwa beseni,inamisha uso karibu na beseni mvuke ukupate usoni wakat huo ujifunike kwa kanga au shuka,ili mvuke usipotee,baada ya hapo utatoka sana jasho hiyo inasaidia sana kama uso wako ni oil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…