Vi-wonder vya Kenya

Tanzania inatengeneza plastic zaidi ya Kunyaland!
 
Zezeta 🚮🚮🚮
Haitakaa itokee muingize $7b kwenye viwanda mpaka dunia inaisha, huu upumbafu kawaeleze mazezeta wenzio sio mimi


Hakuna chochote mnachouzia Tanzania ambacho hakizalishwi Tanzania wala Hakuna chochote tunachowategemea kiviwanda

Nitajie kiwanda kilichopo Kenya, Tanzania hakipo.
 
Sasa mbona unalia? [emoji1] Kwasababu ya takwimu au? [emoji1] Haya basi, endelea kulia, ndio hizi takwimu kutoka kwa hiyo hiyo Business Daily uliyoinukuu hapo juu. Financial services topple manufacturing as top source of tax Contribution ya viwanda kwenye uchumi wa Kenya mwaka wa 2019(Juni) ilikuwa ni 7.15%. Ambayo ni KES 712.58B($7.12B), ushuru kwa GOK, KES 164.30B($1.64B). 'Total revenue' nchini Tanzania kutoka kwa viwanda 2019, kabla ya ushuru, $996Million. Pambaneni tu na hivi viwanda vyenu. [emoji38]
 
Haya mashudu yako baki nayo sababu hata siyasomi

Nataka utaje kiwanda kilichopo Kenya, Tanzania hakipo
 
Haya mashudu yako baki nayo sababu hata siyasomi

Nataka utaje kiwanda kilichopo Kenya, Tanzania hakipo
Sore loser. Acha kulia lia na kuruka ruka bila formular. Takwimu nimekupa, zaidi ya hapo jifanyie risechi wewe mwenyewe.
 
Sore loser. Acha kulia lia na kuruka ruka bila formular. Takwimu nimekupa, zaidi ya hapo jifanyie risechi wewe mwenyewe.
, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nilijua tu lazima umwage povu 😅😅😅😅

Nasemajee! Kama kweli ninyi kwenye viwanda mpo mbele yetu leta kiwanda hapa chochote ambacho mnacho sisi hatuna, mbona simple tu
 
yaani ninyi makusanyo yote ya kodi mwaka mzima hamfiki $8B ndio viwanda pekee viwaingizie $7B

Ndio maana mnatapeliwa na vibaka wenu mnaowaita viongozi kama mazezeta 🚮🚮🚮
View attachment 1542105
Yaani nimecheka kwa sauti kubwa, huu upuzi ulioubandika humu, yaani nyie elimu yenu ina kasoro, mwacheni huyu ,basi tu hajielewi.
 
leke oil lubes tanzania
camel oil lubes tanzania
oryx lube tanzania
oilcom lubes tanzania
total lubes tanzania

heheh endelea kujipa matumaini😀😀
anamaanisha lube .ya gay🤔🤔🤔🤔
 
Sore loser. Acha kulia lia na kuruka ruka bila formular. Takwimu nimekupa, zaidi ya hapo jifanyie risechi wewe mwenyewe.
Mimi ni Mtanzania ila aliyeanzisha ligi na wanaomshabikia kwakweli leo wameingia choo cha kike TZ haiwezi kucompete a Kenya kwenye masuala ya viwanda na ubunifu hasa masuala ya IT na start-ups. You are doing great compared to us ukweli diyo huo.
 
Mimi ni Mtanzania ila aliyeanzisha ligi na wanaomshabikia kwakweli leo wameingia choo cha kike TZ haiwezi kucompete a Kenya kwenye masuala ya viwanda na ubunifu hasa masuala ya IT na start-ups. You are doing great compared to us ukweli diyo huo.
Mimi ni mkei, to be honest wa Tzed mko poa kwenye viwanda now days. Products zenyu Kama Azam energy, whitedent, pipes za ujenzi na nyingine mob zimebamba wasee sana huku
 
Mimi ni mkei, to be honest wa Tzed mko poa kwenye viwanda now days. Products zenyu Kama Azam energy, whitedent, pipes za ujenzi na nyingine mob zimebamba wasee sana huku
[emoji1][emoji1][emoji1] Umechemsha jombaa, hutasikia hata siku moja mkenya akilitumia hilo neno kiholela holela. Eti 'mkei', kei/makei kwa sheng 'old school' inamaanisha p#mb#/map#mb#. [emoji38]
 
Ni Nini iko nawe!! Mimi ni boys wa mtaa, vako masee...[emoji3] BTW ulimpeleka wapi sister wetu
[emoji1][emoji1][emoji1] Umechemsha jombaa, hutasikia hata siku moja mkenya akilitumia hilo neno kiholela holela. Eti 'mkei', kei/makei kwa sheng 'old school' inamaanisha p#mb#/map#mb#. [emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…