Via sms,calls and email;Dada huyu ananipenda ila mie smjui.


zali hilo ila angalia isijekuwa ni udananda mkuu ikala kwako..
 
anaishi wapi na wewe unaishi wapi? mna muda gani tangu muanze mawasiliano?
 
"naogopa asije kua kituko" una uhakika gani kua wewe hautoonekana ki2ko?tena c ajabu wewe ndo ukamzidi kwa "uki2ko"
<just saying>
 
mbona nakupigia simu yako haipatikani au umebadilisha laini?
Gozo mi skutaki tena ...
nilikupenda ulivyo Halafu we ukaenda kufanya plastic surgery ...
Nime nuna jumla sasa
 
Madamex, Yameshatokea na watu wamesha umizwa sana na haya Majini

Hatukomi tu
 

Mkuu nikupe namba yangu umwambie aitumie kwa mawasiliano na wewe?ili nije nikupe feedback kama analipa au halipi?
 

kwani mlianza mawasiliano ktk grounds zipi?yani nini kiliwakutanisha hadi kuanza mawasiliano?
 

hebu weka namba yake hapa nikusaidie..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…