VIAGRA ISSUES: Jamaa afariki Dunia akila uroda na wanawake wawili

🤣🤣Kasema threesome bhana.Am so sorry.Najua unajua nakupenda
Sasa threesome sii ndio tamu jamni yaani wee unatulia unapewa burudani na warembo.
Mambo vipi lakini teacher? Watoto kweli wanakuja shule na hii baridi
 
Wanaume tupo kwenye hatari ya kufa pale tunapoamua kumtumia mwanamke kama chombo cha kushindana na mwanaume mwingine badala ya starehe.

Mwanaume yoyote ambaye haitaji kuthibitisha kuwa yeye ni mwanaume kuliko wengine hawezi kufa kirahisi rahisi maana akili yake inawaza ngono starehe sio ngono uthibitisho naweza shoo kuliko mumeo au x sijui boyfriend.
 
Sasa threesome sii ndio tamu jamni yaani wee unatulia unapewa burudani na warembo.
Mambo vipi lakini teacher? Watoto kweli wanakuja shule na hii baridi
😳Walimu tuje wenyewe wasije🤔
 
Very good
Taja jina la mhusika. Tukio limetokea wapi?
Tukio limetokea nchini kwetu Kenya jijini Nakuru kwenye mtaa wa Bahati katika lodge Moja inayoitwa Mecol Halfway.
Mhusika mkuu anaitwa James Ndung'u na wanawake Ni Catherine Njoroge na Linet Cheruyiot
 
Tukio kama hilo liliwahi kutokea mahala fulani jamaa mke wake kasafiri akavuta kimada kanywa na dawa asubuhi wanakuta mku kafa mwanamke hayupo ripoti ya daktari mishipa ya damu ilipasuka tena alikuwa gesti sasa
 
Ila hujasimulia mkasa jinsi hao wanawake walichosimulia polisi
 
Shoo kalii , mwanawane .

Piga threesome mpaka two some waone wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…