VIAGRA ISSUES: Jamaa afariki Dunia akila uroda na wanawake wawili

Ila hii three some huwa nafikiria sana katika hali gani wahusika wanakubali kuhusika kunyanduana wakiwa 3 partners. Anyway ngoja nibakize akiba ya maneno maana naweza ropoka kesho nikajikuta mm pia nimefungiwa hapo chumbani na bebez kali zikitaka tuchakatane!!
 
Mbona hiyo inawezekana tu mkuu,ukiona watu wanafanya threesome ujue pesa inahusika pakubwa hapo.Mara nyingi wanaume huwa radhi kutoa kiwango chochote Cha pesa kwa wanawake husika.
 
Kabla ya kutumia Viagra ni lazima mtu apime blood pressure yake coz Viagra inaongeza mzunguko wa damu,

Hii ni hatari sana na haya maelekezo yalitakiwa kua yanatolewa kwa kila anayetaka kununua/kutumia hizo Viagra huko kwenye Maduka ya dawa.
 
Sasa marehemu kakosea nin mbona unadis saana, hivi vizungu mnavyoandika andika ni malezi ya umayai flani hivi.... Kwa iyo hizi harakati hauzielewi,. Mwamba anataka utamu wa demu mbili at once na sio kukomoa mtu....

Ajali kazini tu.

Hizo dawa unazozungumzia zinanywewa asilimia 60 ya watu, na zingine zimeruhusiwa kitaalamu hazina madhara....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You
You're taking things out of their context, I didn't mean they've adverse effects on the consumers if they only take prescribed doses, tatizo watu wengi wanazipokea hizi dawa kimage
Very exceptional indeed! Hongera kwa ujumbe mzuri mkuu🙏
 
You
You're taking things out of their context, I didn't mean they've adverse effects on the consumers if they only take prescribed doses, tatizo watu wengi wanazipokea hizi dawa kimagumashi na ndio maana wanakufa kimasihara namna hiyo
 
Kww
Kabla ya kutumia Viagra ni lazima mtu apime blood pressure yake coz Viagra inaongeza mzunguko wa damu,

Hii ni hatari sana na haya maelekezo yalitakiwa kua yanatolewa kwa kila anayetaka kununua/kutumia hizo Viagra huko kwenye Maduka ya dawa.
Kweli kbsa mkuu.
 
You

You're taking things out of their context, I didn't mean they've adverse effects on the consumers if they only take prescribed doses, tatizo watu wengi wanazipokea hizi dawa kimage

Very exceptional indeed! Hongera kwa ujumbe mzuri mkuu🙏
Shukran christian......
 
Wenye nguvu za Simba na wasioogopa risasi, halafu ukute kanywa viagra na kinga anatumia si bora wangepima ale kitu halisi
 
Unapoandika jitahidi kutumia lugha moja ili ueleweke kwa urahisi[emoji120]
 
Kuna mambo yanasikitisha sana, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…