INAUZWA ‪Viatu bei nafuu. Nakuletea popote kwa Dar es Salaam na mkoani nakutumia kwa uaminifu mkubwa‬

INAUZWA ‪Viatu bei nafuu. Nakuletea popote kwa Dar es Salaam na mkoani nakutumia kwa uaminifu mkubwa‬

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwe unasema ni copy vya mchina maana mwenzako anakushangaa hiyo bei yako na bai anayoijua

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umesema wewe. Mimi nilitaka kusema lakini siku hizi naamua ubishi gani nianzishe na ubishi gani nimezee.

Ubishi mwingine unaweza kushusha viwango, heavyweight aingie ulingoni na featherweight inaweza kuwa mashitaka baadaye buree.

Isije kuonekana habari za "Huu ubishi wa Kiranga tu, anataka kubisha kila kitu. Hata ukimwambia yeye ni Kiranga atakuuliza "Kiranga ni nini, na utajuaje huyu Kiranga na huyu kiranga na huyu si Kiranga na huyu si kiranga?"".

Mie mtoto wa Mchafukoge mjini nimecheza draft na Carl Lewis Salamander, pedigree ya Azania Front since linajengwa 1903, mji umenifuata sijaufuata mji. Nimemezea mengi. Pengine mwenzetu anatengeneza mingo zake, nikasema nisimuharibie biashara.

Nikajua labda kapata contena la dili. Kwa kweli mengine sijali.

Katika mfumo wa dog eat dog, na "Makufuli" haya yalivyofungwa kwenye hela, mtu akipata kontena la dili mimi ni nani nimsilibie?

Back to basics.

Clarks kwa bei hiyo umesafirishaje? Kodi umelipaje?

Ninavyo hapa kibao, Clarks, Florsheim Cole Haan, Nike, Adidas etc, vingine hata kuvivaa sijavivaa, vingine vimebahatika kuvaliwa mara moja, nataka kuvitia kwenye pipa kubwa, kisha meli niwapelekee watu TZ wavae, maana hapa kwangu vitaoata vumbi tu bila kuvaliwa. Granted mimi mteja wao mzuri Clarks, mpaka vingine wananipa bure kwa promotion, lakini, kwa bei hii nilitaka kusema kumbe ninaotaka kuwapeleke bora wanunue huko huko.

Mbona bei nzuri sana?

Ila nikapata maswali mengi ya quality.

Dar kuna duka langu moja la Clarks lipo hapa karibu na CBE, nafikiri mtaa wa Zanaki pale, kuna wahindi fulani nilikuwa nanunua sana Clarks boots kwao, walikuwa wananipa sana deals lakini hawakufikia bei hizi, labda miaka mingi imepita, maana hapo zaidi ya miaka 20 imepita.

Lakini all in all, Clarks at 50,000 lazima muuzaji atakuwa kafanya utaalamu fulani hivi.

Kama ni genuine basi hajalipia kodi au kontena la deal, au la, ndiyo mambo ya "Mchina".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni copy kwa mchina baba.
Kuna mpaka vya 9,000,25,000 35,000 zinakuja 50,000 mpala laki 2 vinztofautiana materials tu lakini ni copy.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwe unasema ni copy vya mchina maana mwenzako anakushangaa hiyo bei yako na bai anayoijua

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama hizi perfume ni copy zinatoka Dubai.
Wenye kampuni zao original wamelalamika maana hizo copy zimesababisha soko lao lishuke na tayari hizo kampuni zimesimamisha uzalishaji.
Kama watatengenezea tena wameambiwa wasifanye package kama ya origial.
Hiyo black opimium bei ya jumla ni 10,000 kwa piece rejareja unauza 25,000 na tunanukia kama original yake.
Nishatumia original yake na hizo za 25,000
FB_IMG_1582771807641.jpeg
FB_IMG_1582771802392.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni copy kwa mchina baba.
Kuna mpaka vya 9,000,25,000 35,000 zinakuja 50,000 mpala laki 2 vinztofautiana materials tu lakini ni copy.
Ni kama hizi perfume ni copy zinatoka Dubai.
Wenye kampuni zao original wamelalamika maana hizo copy zimesababisha soko lao lishuke na tayari hizo kampuni zimesimamisha uzalishaji.
Kama watatengenezea tena wameambiwa wasifanye package kama ya origial.
Hiyo black opimium bei ya jumla ni 10,000 kwa piece rejareja unauza 25,000 na tunanukia kama original yake.
Nishatumia original yake na hizo za 25,000View attachment 1369992View attachment 1369993

Sent using Jamii Forums mobile app
Bei ya viatu vipya Clarks original Tanzania shilingi 50,000, mpaka sasa sijaielewa.

Nilitaka kuwatuma ndugu zangu wakaangalie, lakini kaka mkubwa hatumi watu wakaangalie vitu visivyo vya uhakika, kumtuma mtu aangalie kitu tu ni kuki endorse.

Kuna maduka mengine ya Clarks nimeenda New York City kwa hiyo bei ya kiatu Sh 50,000 sijapata hata dawa ya kusafishia kiatu, achilia mbali kiatu chenyewe.

Sijapata hata zile mbao za cedar pair mbili za kuweka kwenye kiatu ili kiatu kiwe na shape ile ile hata kama hujakivaa (wananiuzia watu wa Clarks, just under $20 if I recall correctly)

I just find it hard to accept that a genuine Clarks shoe would be available for around $20 in Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom