A Andyhaule Member Joined Dec 1, 2016 Posts 32 Reaction score 34 Dec 13, 2016 #21 Usawa huu na hizo bei taishia kariakoo tu ndo type yangu
Mhadzabe JF-Expert Member Joined May 20, 2009 Posts 3,236 Reaction score 4,746 Dec 13, 2016 #22 Tatizo la wajasirimali wa bongo ni kutaka kupata faida ya juuuuu sana kwa wakati mdogo. Hebu angalia bei hivi na bidhaa hizo! Wakikimbiwa na wateja wanaanza kulialia.
Tatizo la wajasirimali wa bongo ni kutaka kupata faida ya juuuuu sana kwa wakati mdogo. Hebu angalia bei hivi na bidhaa hizo! Wakikimbiwa na wateja wanaanza kulialia.
Mhadzabe JF-Expert Member Joined May 20, 2009 Posts 3,236 Reaction score 4,746 Dec 13, 2016 #23 vErSatiLe said: Tsh 130,000 Click to expand... Valentina toa 130,000/ mnunulie Ngosha!
kuduman201036 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2015 Posts 4,058 Reaction score 2,175 Dec 13, 2016 #24 <<< BLACK office shoes I need >>
Karucee JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 18,155 Reaction score 34,303 Dec 13, 2016 #25 vErSatiLe said: Tsh 130,000 Click to expand... Wasukuma hizi ndo zao. Na msimu huu?
Good Father JF-Expert Member Joined Feb 28, 2014 Posts 10,321 Reaction score 18,574 Dec 14, 2016 #26 Hizo bei ni kwa utawala wa awamu ya NNE sasa wewe unauza bei hiyo hiyo kwenye awamu ya tano? Ngoja nisubiri nione watanunua wangap
Hizo bei ni kwa utawala wa awamu ya NNE sasa wewe unauza bei hiyo hiyo kwenye awamu ya tano? Ngoja nisubiri nione watanunua wangap