INAUZWA Viatu vikali

INAUZWA Viatu vikali

Tatizo la wajasirimali wa bongo ni kutaka kupata faida ya juuuuu sana kwa wakati mdogo. Hebu angalia bei hivi na bidhaa hizo!

Wakikimbiwa na wateja wanaanza kulialia.
 
Tsh 130,000
7a9cc3b9af57ae77d8f1be8cf7dac0f1.jpg

Valentina toa 130,000/ mnunulie Ngosha!
 
Hizo bei ni kwa utawala wa awamu ya NNE sasa wewe unauza bei hiyo hiyo kwenye awamu ya tano? Ngoja nisubiri nione watanunua wangap
 
Back
Top Bottom