Viatu vya Diamond Platnumz Mpaka Vitaongea mwaka huu

Viatu vya Diamond Platnumz Mpaka Vitaongea mwaka huu

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Buti nyeusi za BALENCIAGA anazovaa Mondi zinaenda kwa jina la "ALASKA PUFFER BOOT (men)" amekuwa akizunguk navyo kika kona basi hata Abadilishe rangi tujue Anavyo Vingi basi, yan mwisho wa siku tunaoneka Taifa Tunarudia Viatu.. bei yake ni Dola za Kimarekani 1,325 wmbayo ni TZS Milioni 3.54.

1000077061.jpg

Ni Viatu vizur tunampongeza Msanii wetu kununua kiatu chenye Bei ya Gari Used lakin sasa Anavivaa sana jamn, abadilishe hata mtindo basi.

1000077069.png

Ananioa mashaka maana kuna siku aliibiwa Kofia Moja ya Kijana alilalamika Mnoo, akisema ina nguo nyingi, sembuse Tubuti twa milioni twatu.

Mashabiki zake msinikande sasa, tutoe ushauri tu.
 
Buti nyeusi za BALENCIAGA anazovaa Mondi zinaenda kwa jina la "ALASKA PUFFER BOOT (men)" amekuwa akizunguk navyo kika kona basi hata Abadilishe rangi tujue Anavyo Vingi basi, yan mwisho wa siku tunaoneka Taifa Tunarudia Viatu.. bei yake ni Dola za Kimarekani 1,325 wmbayo ni TZS Milioni 3.54.
View attachment 3056487
Ni Viatu vizur tunampongeza Msanii wetu kununua kiatu chenye Bei ya Gari Used lakin sasa Anavivaa sana jamn, abadilishe hata mtindo basi..
View attachment 3056488
Ananioa mashaka maana kuna siku aliibiwa Kofia Moja ya Kijana alilalamika Mnoo, akisema ina nguo nyingi, sembuse Tubuti twa milioni twatu..

Mashabiki zake msinikande sasa, tutor ushaur tu
Mbona mwenzie kavaa simple tu.
 
Kuvaa avae yeye kuteseka uteseke wewe huoni unajipa maumivu usiostahili
 
Hizo buti ni za kuvaa kwenye barafu sasa yeye anavaa tu sehemu siyo jamani ushamba mzigo ! Hana washauri ???
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Back
Top Bottom