Viazi vitamu vya kuchemsha na nazi

Viazi vitamu vya kuchemsha na nazi

Hehehe nasubiri vya mke wangu labda nitavipenda,viazi vitamu sivipendi kwa sababu ukila ni kama havikai vizuri tumboni,yaani kama imeganda tumboni vile

Yaani pia huwezi kula zaidi ya kimoja...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hehehe nasubiri vya mke wangu labda nitavipenda,viazi vitamu sivipendi kwa sababu ukila ni kama havikai vizuri tumboni,yaani kama imeganda tumboni vile

Wewe ni mshamba!
 
Back
Top Bottom