Viazi vitamu vya kuchemsha na nazi

Hehehe nasubiri vya mke wangu labda nitavipenda,viazi vitamu sivipendi kwa sababu ukila ni kama havikai vizuri tumboni,yaani kama imeganda tumboni vile

Yaani pia huwezi kula zaidi ya kimoja...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mambo ya futari hayo.

Kuna ivo vya sukari na nazi na iliki. Lkn pia waweza pika vya chumvi kwa nyama au utumbo kama ndizi mbichi vile. Vitamuje
 
Hehehe nasubiri vya mke wangu labda nitavipenda,viazi vitamu sivipendi kwa sababu ukila ni kama havikai vizuri tumboni,yaani kama imeganda tumboni vile

Wewe ni mshamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…