Vibaka Kawe, unaporwa kila kitu nauli unapewa

Vibaka Kawe, unaporwa kila kitu nauli unapewa

Job Richard

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
3,876
Reaction score
2,190
Kuna mshikaji alikuwa na mke wake kapita nyuma ya Tanganyika Packers pale Kawe anadai ilikuwa mida ya saa moja usiku katoka beach, kakutana na jemba tatu zimeshiba zikamsaula kila kitu.

Na mfukoni alikuwa na elfu sabini ile wanamruhusu ondoka, eti wanamuuliza nauli mnayo? Wakamtoa elfu tano katika hela zake vitu vingine vinahitaji moyo sana kuvipokea.

Sema ukiwa na wife kuwadindia ujipange maana bila hivyo anabakwa shahidi mwenyewe. Kule Kawe hakufai kabisa ule mpango wa Mama kuweka bonge la Arena pale ningekuwa mshauri ningelipitisha haraka sana.

Mnaoenda kula bata Kawe weekend kuwa makini sana. Wakazi wa Kawe nanyi tafuteni kazi ukabaji sio kabisa.
 
Kawe vibaka ni watoto wa wanajeshi, au wanajeshi wenyewe, ukikutana nao kama unq kisu, we piga ua, Dunga kisu kimbia
 
Kawe vibaka ni watoto wa wanajeshi,au wanajeshi wenyewe,ukikutana nao kama unq kisu,we piga ua,Dunga kisu kimbia
Wale mwanzoni walikuwa wakijiita watoto wa mbwa mwitu sasa hivi vimepungua unakutana na vitoto zaidi ya kumi vina panga na visu

Sasa hivi ni jemba kwa maelezo ya jamaa usijejiroga ukapita kule nyuma na giza limeanza
 
Jimbo la nabii, Pole, yaani kusashiwa mbele ya wife material haipendezi.

Tuwatafute.
 
Back
Top Bottom