DOKEZO Vibaka na mateja wanatapeli watu karibu kabisa na kituo kikuu cha Polisi Central Arusha hii ni aibu sana

DOKEZO Vibaka na mateja wanatapeli watu karibu kabisa na kituo kikuu cha Polisi Central Arusha hii ni aibu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mr pianoman

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2019
Posts
2,595
Reaction score
6,264
Wakuu naongea kwa ushahidi kabisa kilipo kituo kikuu cha Polisi Arusha kuna kamsitu pembeni na ndani ya hako kamsitu kuna njia za waenda kwa miguu wanapita basi imegeuka fursa kwa vibaka na mateja kuwatapeli waenda kwa miguu wakijifanya ni polisi.

Hao vibaka na mateja wanatapeli watu kwa njia tofauti tofauti kuna wengine wanaambiwa wamepita sehemu ambayo polisi wamezuia watu kupita hivyo unatakiwa uchague moja utoe hela au wakupeleke kituoni. Hapa wengi wamepigwa ukizingatia ni kweli kituo unakiona kile pale.

Njia nyingine wanakuvizia ukojae wanakuja wakijifanya wamepewa jukumu la kuzuia watu wasikojoe. Sio mbaya kulinda mazingira yasichafuliwe lakini je ni kwanini itumike njia danganyifu ya kutapeli watu kwa kujifanya wewe ni polisi? Na wala mamlaka husika haiwatambui hao watu.

Njia nyingine ukikaa wanakucheki wewe ni mtu wa aina gani wanakuja kukutapeli.

Hii ni aibu mtu kutapeliwa mchana kweupe karibu kabisa na kituo kikuu cha polisi na huo mchezo watu wote wanaofanya biashara pale karibu wakiwemo na bodaboda wanajua je ni kweli polisi hawajui?

Kama ni kweli Polisi wote waliopo pale kituo kikuu cha Polisi Central Arusha hawajui hili suala ni hatari kwa kweli maana mateja na vibaka wapo sebuleni.

Kuna majeshi yanamaeneo makubwa yenye misitu na vichaka ila huwezi kukuta vitu kama hivi vikitendeka kwenye maeneo yao.

Polisi Arusha hao watu wapotezwe hapo wanachafua taswira ya jeshi la polisi kwa kujifanya na wao ni polisi.
 
Sasa kama unakojoa barabarani ulitaka uachwe ili uendelee kuchafua mazingira?
 
Kwa maelezo yako hiyo ni njia na watu wengi wanapita sasa wewe peke yako ukikamatwa na kuambiwa ujapita njia sahihi na ukaamua kuwapa hela uoni kuwa wewe ndio mwenye matatizo?
 
Kwa maelezo yako hiyo ni njia na watu wengi wanapita sasa wewe peke yako ukikamatwa na kuambiwa ujapita njia sahihi na ukaamua kuwapa hela uoni kuwa wewe ndio mwenye matatizo?
Kuna sehemu nimeandika mimi nimewapa hela au umekurupuka?
 
Wakuu naongea kwa ushahidi kabisa kilipo kituo kikuu cha Polisi Arusha kuna kamsitu pembeni na ndani ya hako kamsitu kuna njia za waenda kwa miguu wanapita basi imegeuka fursa kwa vibaka na mateja kuwatapeli waenda kwa miguu wakijifanya ni polisi.

Hao vibaka na mateja wanatapeli watu kwa njia tofauti tofauti kuna wengine wanaambiwa wamepita sehemu ambayo polisi wamezuia watu kupita hivyo unatakiwa uchague moja utoe hela au wakupeleke kituoni. Hapa wengi wamepigwa ukizingatia ni kweli kituo unakiona kile pale.

Njia nyingine wanakuvizia ukojae wanakuja wakijifanya wamepewa jukumu la kuzuia watu wasikojoe. Sio mbaya kulinda mazingira yasichafuliwe lakini je ni kwanini itumike njia danganyifu ya kutapeli watu kwa kujifanya wewe ni polisi? Na wala mamlaka husika haiwatambui hao watu.

Njia nyingine ukikaa wanakucheki wewe ni mtu wa aina gani wanakuja kukutapeli.

Hii ni aibu mtu kutapeliwa mchana kweupe karibu kabisa na kituo kikuu cha polisi na huo mchezo watu wote wanaofanya biashara pale karibu wakiwemo na bodaboda wanajua je ni kweli polisi hawajui?

Kama ni kweli Polisi wote waliopo pale kituo kikuu cha Polisi Central Arusha hawajui hili suala ni hatari kwa kweli maana mateja na vibaka wapo sebuleni.

Kuna majeshi yanamaeneo makubwa yenye misitu na vichaka ila huwezi kukuta vitu kama hivi vikitendeka kwenye maeneo yao.

Polisi Arusha hao watu wapotezwe hapo wanachafua taswira ya jeshi la polisi kwa kujifanya na wao ni polisi.
Nyuma ya Kaloleni Shule ya Msingi na Kipong
 
Wakuu naongea kwa ushahidi kabisa kilipo kituo kikuu cha Polisi Arusha kuna kamsitu pembeni na ndani ya hako kamsitu kuna njia za waenda kwa miguu wanapita basi imegeuka fursa kwa vibaka na mateja kuwatapeli waenda kwa miguu wakijifanya ni polisi.

Hao vibaka na mateja wanatapeli watu kwa njia tofauti tofauti kuna wengine wanaambiwa wamepita sehemu ambayo polisi wamezuia watu kupita hivyo unatakiwa uchague moja utoe hela au wakupeleke kituoni. Hapa wengi wamepigwa ukizingatia ni kweli kituo unakiona kile pale.

Njia nyingine wanakuvizia ukojae wanakuja wakijifanya wamepewa jukumu la kuzuia watu wasikojoe. Sio mbaya kulinda mazingira yasichafuliwe lakini je ni kwanini itumike njia danganyifu ya kutapeli watu kwa kujifanya wewe ni polisi? Na wala mamlaka husika haiwatambui hao watu.

Njia nyingine ukikaa wanakucheki wewe ni mtu wa aina gani wanakuja kukutapeli.

Hii ni aibu mtu kutapeliwa mchana kweupe karibu kabisa na kituo kikuu cha polisi na huo mchezo watu wote wanaofanya biashara pale karibu wakiwemo na bodaboda wanajua je ni kweli polisi hawajui?

Kama ni kweli Polisi wote waliopo pale kituo kikuu cha Polisi Central Arusha hawajui hili suala ni hatari kwa kweli maana mateja na vibaka wapo sebuleni.

Kuna majeshi yanamaeneo makubwa yenye misitu na vichaka ila huwezi kukuta vitu kama hivi vikitendeka kwenye maeneo yao.

Polisi Arusha hao watu wapotezwe hapo wanachafua taswira ya jeshi la polisi kwa kujifanya na wao ni polisi.
Msitu uko upande gani?
 
Wakuu naongea kwa ushahidi kabisa kilipo kituo kikuu cha Polisi Arusha kuna kamsitu pembeni na ndani ya hako kamsitu kuna njia za waenda kwa miguu wanapita basi imegeuka fursa kwa vibaka na mateja kuwatapeli waenda kwa miguu wakijifanya ni polisi.

Hao vibaka na mateja wanatapeli watu kwa njia tofauti tofauti kuna wengine wanaambiwa wamepita sehemu ambayo polisi wamezuia watu kupita hivyo unatakiwa uchague moja utoe hela au wakupeleke kituoni. Hapa wengi wamepigwa ukizingatia ni kweli kituo unakiona kile pale.

Njia nyingine wanakuvizia ukojae wanakuja wakijifanya wamepewa jukumu la kuzuia watu wasikojoe. Sio mbaya kulinda mazingira yasichafuliwe lakini je ni kwanini itumike njia danganyifu ya kutapeli watu kwa kujifanya wewe ni polisi? Na wala mamlaka husika haiwatambui hao watu.

Njia nyingine ukikaa wanakucheki wewe ni mtu wa aina gani wanakuja kukutapeli.

Hii ni aibu mtu kutapeliwa mchana kweupe karibu kabisa na kituo kikuu cha polisi na huo mchezo watu wote wanaofanya biashara pale karibu wakiwemo na bodaboda wanajua je ni kweli polisi hawajui?

Kama ni kweli Polisi wote waliopo pale kituo kikuu cha Polisi Central Arusha hawajui hili suala ni hatari kwa kweli maana mateja na vibaka wapo sebuleni.

Kuna majeshi yanamaeneo makubwa yenye misitu na vichaka ila huwezi kukuta vitu kama hivi vikitendeka kwenye maeneo yao.

Polisi Arusha hao watu wapotezwe hapo wanachafua taswira ya jeshi la polisi kwa kujifanya na wao ni polisi.
Usemayo ni kweli,naunga mkono hoja
 
Teja anakutapeli vipi sasa? Unashindwa kutofautisha muonekano wa Teja na police?
 
Kipong imechafua sana like eneo hasa ukipita njia ya msituni a lot of plastics zinatiririka kwenda bondeni.
Wake vijana hada yule mrefu wanaokamata watu waondolewe pale.Wale ni wezi kwanin wanakamata watu wanaingia nao chocho za msituni?
Kweli wadada watakuwa salama kwenye mikono ya wale jamaa given chocho zote zile.
Uhalifu na utapelu mlangoni mwa kituo cha polosi
 
Pana utata sana lile eneo Kwan ni mlangoni mwa kituo kikuucha polisi jambo ambalo linawachanganya wengi
Kwani katika iko kimsitu hakuna mabango ya onyo yanayokataza kukatisha katika ilo eneo?
 
Wakuu naongea kwa ushahidi kabisa kilipo kituo kikuu cha Polisi Arusha kuna kamsitu pembeni na ndani ya hako kamsitu kuna njia za waenda kwa miguu wanapita basi imegeuka fursa kwa vibaka na mateja kuwatapeli waenda kwa miguu wakijifanya ni polisi.

Hao vibaka na mateja wanatapeli watu kwa njia tofauti tofauti kuna wengine wanaambiwa wamepita sehemu ambayo polisi wamezuia watu kupita hivyo unatakiwa uchague moja utoe hela au wakupeleke kituoni. Hapa wengi wamepigwa ukizingatia ni kweli kituo unakiona kile pale.

Njia nyingine wanakuvizia ukojae wanakuja wakijifanya wamepewa jukumu la kuzuia watu wasikojoe. Sio mbaya kulinda mazingira yasichafuliwe lakini je ni kwanini itumike njia danganyifu ya kutapeli watu kwa kujifanya wewe ni polisi? Na wala mamlaka husika haiwatambui hao watu.

Njia nyingine ukikaa wanakucheki wewe ni mtu wa aina gani wanakuja kukutapeli.

Hii ni aibu mtu kutapeliwa mchana kweupe karibu kabisa na kituo kikuu cha polisi na huo mchezo watu wote wanaofanya biashara pale karibu wakiwemo na bodaboda wanajua je ni kweli polisi hawajui?

Kama ni kweli Polisi wote waliopo pale kituo kikuu cha Polisi Central Arusha hawajui hili suala ni hatari kwa kweli maana mateja na vibaka wapo sebuleni.

Kuna majeshi yanamaeneo makubwa yenye misitu na vichaka ila huwezi kukuta vitu kama hivi vikitendeka kwenye maeneo yao.

Polisi Arusha hao watu wapotezwe hapo wanachafua taswira ya jeshi la polisi kwa kujifanya na wao ni polisi.
Ni hicho kimsitu hapo Darajani kuelekea Kaloleni Primary?
 
Teja anakutapeli vipi sasa? Unashindwa kutofautisha muonekano wa Teja na police?
Kuna watu wanatapeliwa pale mchana kweupe ukizingatia ni mlangoni kabisa mwa kituo cha polisi
 
Kwani katika iko kimsitu hakuna mabango ya onyo yanayokataza kukatisha katika ilo eneo?
Hakuna mabango wala hakuna mtu wa kutoka kwenye mamlaka aliyepewa hilo jukumu ni vibaka na mateja ndio wametumia fursa kujipatia hela kinyume na sheria
 
Back
Top Bottom