ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,027
- 2,490
Upi mwingine tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upi mwingine tena
Huo mchezo wa kutapeli watu hapo uko Enzo na enzi. Hao jamaa wanakusoma kwanza usoni wanajua kabisa wewe ni mgeni maeneo hayo na pia uelewa wako ni mdogo sana. So wanakutisha kama vile umefanya makosa ya kupita hicho kinjia au umekojoa pasiporuhusiwa ili wakuchomoe mpunga.Ndio hicho hicho kimsitu hapo kuna njia inatokezea shule ya msingi Kaloleni
Kuna vinjia vya watembea kwa nguu, chocho kutokea shule ya msingi, hii njia inaamba amba na bonde la huo msitu, ni shortcut muhimu sanaKwani katika iko kimsitu hakuna mabango ya onyo yanayokataza kukatisha katika ilo eneo?
Nadhani utakuwa ujanielewa mimi namaanisha huyo anaewapa hela atakuwa na matatizoKuna sehemu nimeandika mimi nimewapa hela au umekurupuka?