Vibaka wa 'Bongo' msiige hii tafadhali kwani mtakufa vibaya sana

Vibaka wa 'Bongo' msiige hii tafadhali kwani mtakufa vibaya sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Askari wa Barabarani ( Traffic Police ) Mmoja huko nchini Kenya amejikuta akiibiwa Simu kwa 'Kuchomolewa' na Kibaka wakati akiwa anaongoza Magari.

Nimewaonya Vibaka wa Bongo ( Tanzania ) nikiwa najua kuwa 'Matrafiki' wengi wa Tanzania huwa nakutana nao sana kwenye Kambi za Mabondia na Beach wakijifua kwa Ndondi na Kung Fu hivyo nina uhakika wakiibiwa Simu kama ilivyomtokea huyu wa Kenya wanaweza 'Wakaua' vibaya sana.
 
Vijana wetu jasiri sana ngoja tuone wa kwanza kusubutu😀😀😂
 
Nimeishi Kigamboni.

Vibaka walimtemesha mwanajeshi wa Navy.

Nimeishi Mwananyamala.

Vibaka walivunja nyumbani kwa TISS. Jamaa aliwasaka huku amevaa Makhirikhiri, siku mbili tu wote washakamatwa.

Huyo trafiki ni nini sasa?
 
Mkuu wacha upuuzi wako tafadhali. Kibaka si mtu wa kumpa mbinu hata siku moja, ilibidi usiwape mbinu yeyote vibaka wetu wa kibongo, ulistahili kuwaacha tu ili waingie kingi na kuiba kisha wauliwe kama nyama tu. Pumbavu zao🖕
 
Mbona ishawahi kutokea kishandu mmoja anakaa mitaa ya home alishawahi kumuibia Traffic radio call fire ,chizi pikipiki hatari huyu jamaa

Saizi kawa mpole na mtulivu
 
Back
Top Bottom