DOKEZO Vibaka wanaotumia boda wanakata watu mapanga Mchana kweupe maeneo ya Kimara

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna siku watafanya hivyo tena kisha bodaboda itafeli hakutakuwa na wala kumlaumu.
 
Wakati natokea KIBAHA PWANI nafika GEITA nilizani jambazi akishika AK 47 hawezi kutulizwa lakini siku Moja majbazi Saba wakiwa wenye bunduki 4wengine 3wanamapanga walivyovamia miji kama 5 hivi mwano ulilia kijiji chote mpaka jirani police wakajificha lakini ile hofu ya mwano majambaza wawili tu ndio walipona mmoja alichomwa na Mkuki wakuulia Fisi akiwa na silaha yake wengine wakajificha sehemu za kijinga kijinga ila Yote mikoani Kuna mtu katili
 
Ni jambo la kumshukuru mheshimiwa rais k
 
Dah! Kwa kweli hao mkiwadaka muwafanyie chochote tu maana hawana ubinadamu kabisa
 
Shida sio kukamata watu. Shida kukamata halafu hawaonekani tena.

Imagine anachukuliwa kaka yako hapo halafu humuoni tena.
 
Mkiwakamata wakatumike kama skeleton za mafunzo mashuleni baada ya kuwaengua nyama zao.
 
Hawajawala mzigo
 
Huku Kibamba kuanzia Luguruni Kibamba Hospital mpaka Chama wanatamba tu.. Imefikia wakati Watu tunatembea wawili wawili . Ukiwa peke yako lazima ubebe silaha.. Vinginevyo unaweza kushambuliwa muda wowote..

Lakini kwangu naona suluhisho ni kuwaua tu.. Popote atakapokamatwa kibaka wa pikipiki auwawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…