Vibali vya ujenzi

Vibali vya ujenzi

zabron k

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2015
Posts
943
Reaction score
1,107
Wakulungwa habari ya leo

Baada ya kunyaka 4M juzi kati, Leo nikaamua nijisalimishe ofisi ya serikali ya mtaa kujua taratibu za ujenzi.

Nilichoambiwa ni kuwa, kabla ya ujenzi natakiwa kuwasilisha maombi ya kujenga ambayo nitamuandikia mkurugenzi wa manispaa lakini yakipitia ofisi ya mtendaji wa mtaa. Maombi hayo lazima yawe na Raman ya nyumba nitakayoijenga.

Mkurugenzi ataangalia ukubwa wa nyumba na matumizi yake hapo ndo "ananilima" pesa ili aniruhusu kujenga.

Huko uliko utaratibu wa ujenzi upo vipi?

Nipo Tunduru
 
Bongo ukisema ufate sheria na taratibu jinsi inavyotakikana utapoteza sana muda na pesa zako maana hiyo circle mpaka uimalize mkononi utakuwa umebakiwa na 2.8mill.

Kama ni nyumba ya kawaida ya makazi tumia short cut malizana na serikali za mitaa mambo yako yaende ila kama ghorofa ndo itaku-cost,but wengi huwa hawaanzii huko wewe ni nini kilichokupeleka huko?
 
Bongo ukisema ufate sheria na taratibu jinsi inavyotakikana utapoteza sana muda na pesa zako maana hiyo circle mpaka uimalize mkononi utakuwa umebakiwa na 2.8mill.

Kama ni nyumba ya kawaida ya makazi tumia short cut malizana na serikali za mitaa mambo yako yaende ila kama ghorofa ndo itaku-cost,but wengi huwa hawaanzii huko wewe ni nini kilichokupeleka huko?
Kuna jamaa yupo kwenye kamati ya ujenzi hapa mtaani ni shida.
Yule mtu kama akifa nahisi atajichimbia kaburi. Ni kero kwenye ujenzi hapa mtaani.
 
Kuna jamaa yupo kwenye kamati ya ujenzi hapa mtaani ni shida.
Yule mtu kama akifa nahisi atajichimbia kaburi. Ni kero kwenye ujenzi hapa mtaani.
Huyo huyo ndiye wa kukaa naye chini akulinde maana inavyoonekana ujenzi wako siyo kazi ya kuisha leo wala kesho kutokana na kiwango cha pesa ulicho nacho,mkuu kumbuka hivi vibali vya ujenzi huwa vinalipiwa kutokana na tathmini utakayowapa wewe,ukiwaambia ni nyumba nzima mpaka unahamia utapewa hesabu yake!

Mf:ukisema kazi yangu nitaifanya ndani ya siku kumi,utapigiwa hesabu ya siku kumi zikiisha wakija wakaguzi unakamatwa huja-renew kibali unalipa fain na ukate tena kibali kipya na hata ukiweza ku-maintain hizo siku kumi kazi yako ikaisha siku ukitaka kuendelea na ujenzi wako itabidi ukate tena kibali so unaweza ukaona jinsi utakavyoingia gharama kubwa.
 
Huyo huyo ndiye wa kukaa naye chini akulinde maana inavyoonekana ujenzi wako siyo kazi ya kuisha leo wala kesho kutokana na kiwango cha pesa ulicho nacho,mkuu kumbuka hivi vibali vya ujenzi huwa vinalipiwa kutokana na tathmini utakayowapa wewe,ukiwaambia ni nyumba nzima mpaka unahamia utapewa hesabu yake!

Mf:ukisema kazi yangu nitaifanya ndani ya siku kumi,utapigiwa hesabu ya siku kumi zikiisha wakija wakaguzi unakamatwa huja-renew kibali unalipa fain na ukate tena kibali kipya na hata ukiweza ku-maintain hizo siku kumi kazi yako ikaisha siku ukitaka kuendelea na ujenzi wako itabidi ukate tena kibali so unaweza ukaona jinsi utakavyoingia gharama kubwa.
Nimekuelewa vzr sana
 
Back
Top Bottom