Fika halmashauri, watakupa fomu ya kujaza, umpate surveyor, mchora ramani akuchoree na vingine nimesahau kuna kamlolongo.. Kisha utapewa namba ya kulipia mpunga, bei inategemeana na jengo kamani la makazi ama biashara, kama i ghorofa ama kawaida na ukubwa pia.
Mkuu kuna website hii https://tausi.tamisemi.go.tz.
Ni rahisi kufungua akounti yako/ yaani kujisajili kwa kutumia namba zako za NIDA.
Utakuta huduma mbalimbali, kama hizi.