Vibamia association of Tanzania (VAT) - Mkutano mkuu

Sasa kama sio kibamia na nikaja hapo sinza mtanijuaje? Teh teh teh wazee wa vibamia kazi kwelikweli
 
Hakikisha una kibamia kweli maana kutakuwa na ukaguzi kabla hujaingia ukumbini. Wana-VAT umoja wetu ndio nguzo yetu. Long Live VAT Long liveeeeeeee!!!!
 
Tatizo la Vibamia linakuwa? Swali ni size ya mashimo imeongezeka na kuwa bwawa au ni Vibamia vinapungua kivyake? Maana tunaweza sema vibamia kumbe mashimo ndio yanaongezeka ukubwa
 
du! kikao chema ila kwenye AOB hayo yote ni maajaliwa ya Maulana
 
Tatizo la Vibamia linakuwa? Swali ni size ya mashimo imeongezeka na kuwa bwawa au ni Vibamia vinapungua kivyake? Maana tunaweza sema vibamia kumbe mashimo ndio yanaongezeka ukubwa

Mi naona mashimo ndo yanaongezeka ukubwa
 
Ha haaa haaaaaaaaaaaaaa

Napita tuuu
 
Wadau siku ndo zinakaribia msikose kwenye mkutano huu muhimu kwa mustakabali wetu. UMOJA WETU NDIO NGUVU YETU.
 
Vibamia utawajua tu. Mi nipe nafasinya kusimamia mapato
 
Tafadhali wana VAT mimi pia mwanachama hai tusisahau kuja na dawa za dkt. Miaka za kurefusha dududuuuu
 
Saizi gani ndo inakuwezesha kuwa mwanachama ????????
 
mliamua nini kwenye kikao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…