Vibamia association of Tanzania (VAT) - Mkutano mkuu

Vibamia association of Tanzania (VAT) - Mkutano mkuu

hiv dkt mwaka ndo kafungiwa kweli? daah kazi tunayo na haya mashimo yetu
 
aisee tafadhali hiki chama inabidi kisambae mikoani hasa kilimanjaro (Rombo) na Arusha maana viroba vimecahngia kupunguza ukubwa wa nyume (uume)
 
Mashimo Makubwa/Mabwawa Association (MMA) watakuwa na mkutano wa Robo Mwaka. Agenda: Dawa imepatikana ya kubana shimo ili kuwaridhisha wenza wao. Jisajiri sasa
Wapi huo mkutano utafanyika?
 
hapo kona baa kuna watu wanaweza kuwasaidia wakati mnaendelea na kikao joan 0713661635, tedi 0755184948 na jak 0718984718. mkutano mwema
Duih... Kuna mmoja nimegonga hapo.. Asante kwa namba
 
Ndugu wanachama msisahau Kadi zenu za uanachama. Ni muhimu sana.
 
Vibamia tuna tia aibu,
Lakin ata sisi pia ni binadamu tuliubwa kama wenye dudu kubwa,
Tujikubali tu! na mwanamke atakae ona si mfahi aende tu sio kututangaza ovo......umoja utatusaidia kushinda hi hali
Vibamiaa oyeeeee
 
Vibamia hatuwez kuja kujiongezea
Stress.....natamani kua namtulinge lakn ndio ivo tena dore jomba
Zipo dawa lakini mie sina uhakika na ufanisi wake kwa kuwa yangu ni original.
Kwa hili unaloongea ipo haja ya kufanya ukaguzi kwa wanachama wa vyama vyote kuanzia Vibamia, Mashimo/Mabwawa na Mitulinga ili kuhakiki uhalali wa wanachama. Isije ikatokea kukawa na wanachama bandia.
 
Ndugu Wanachama tunawatangazia tutakuwa na Mkutano Mkuu wa chama, VAT tarehe 27/03/2016
AGENDA: Hesabu za mapato na Matumizi ndani ya chama
Kupokea Wanachama Wapya
Uchaguzi wa Viongozi
AOB:Changamoto hasa dharau toka wenza/wapenzi wetu na namna ya kukabiliana nazo
MAHALI: KONA BAR (SINZA AFRICA SANA) kuanzia saa 11 jioni
MAWASILIANO: 0757023250 (Mr. Temu)
Sijui watu huwa munawaza nini humu JF. kwa kweli nimecheka sana anyway iongezwe mada mpya ya kuwakomoa wapenzi wetu wanaonyesha dharau na kufake wakati wa mahusiano.
 
Hehehe vingunguti mbali bhana fanya ubungo plaza
Nimegundua hapo ni karibu na wanachama wengi, na watuma maombi wamekuwa wakipendekeza hapo mahala. Ubungo Plaza hawataweza kuja ni mbali na watashidwa kufika, si unajua vitu vilivyo tulia havitaki usumbufu!
 
Mbona hamjatoa mrejesho wa kikao?? Kona bar sasa hivi polisi hawachelewi kukubeba, vikao vimehamia wapi?
 
hapo kona baa kuna watu wanaweza kuwasaidia wakati mnaendelea na kikao joan 0713661635, tedi 0755184948 na jak 0718984718. mkutano mwema
Mwongozo hawa wakina joan tedi na jack ni kina nani?
 
mmh hivi mlezi wa chama ni nani tena? hapo kwenye changamoto ndo iwe agenda kuu ya mkutano
Kama utakumbuka kuna jamaa alianzisha uzi akidai mke wake alimwambia 'lete kibamia chako haraka nikinyonye'. Huyu ndiye mlezi wa chama chetu hiki kitukufu
 
Back
Top Bottom