Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huo mkutano utafanyika?Mashimo Makubwa/Mabwawa Association (MMA) watakuwa na mkutano wa Robo Mwaka. Agenda: Dawa imepatikana ya kubana shimo ili kuwaridhisha wenza wao. Jisajiri sasa
hii imekugusa kweli kweliMbona povu kama umelamba sabuni ya kusafishia toi? Kuna shida kwani? Nenda kwenye kikao bana Punguza hasira
Duih... Kuna mmoja nimegonga hapo.. Asante kwa nambahapo kona baa kuna watu wanaweza kuwasaidia wakati mnaendelea na kikao joan 0713661635, tedi 0755184948 na jak 0718984718. mkutano mwema
Vibamia hatuwez kuja kujiongezeaMitulinga Mikubwa Association (MMA) inawakaribisha wanachama na wapenzi katika mkutano wa wake wa mwaka utakaofanyika Vingunguti
Hehehe vingunguti mbali bhana fanya ubungo plazaMitulinga Mikubwa Association (MMA) inawakaribisha wanachama na wapenzi katika mkutano wa wake wa mwaka utakaofanyika Vingunguti
Zipo dawa lakini mie sina uhakika na ufanisi wake kwa kuwa yangu ni original.Vibamia hatuwez kuja kujiongezea
Stress.....natamani kua namtulinge lakn ndio ivo tena dore jomba
Sijui watu huwa munawaza nini humu JF. kwa kweli nimecheka sana anyway iongezwe mada mpya ya kuwakomoa wapenzi wetu wanaonyesha dharau na kufake wakati wa mahusiano.Ndugu Wanachama tunawatangazia tutakuwa na Mkutano Mkuu wa chama, VAT tarehe 27/03/2016
AGENDA: Hesabu za mapato na Matumizi ndani ya chama
Kupokea Wanachama Wapya
Uchaguzi wa Viongozi
AOB:Changamoto hasa dharau toka wenza/wapenzi wetu na namna ya kukabiliana nazo
MAHALI: KONA BAR (SINZA AFRICA SANA) kuanzia saa 11 jioni
MAWASILIANO: 0757023250 (Mr. Temu)
Nimegundua hapo ni karibu na wanachama wengi, na watuma maombi wamekuwa wakipendekeza hapo mahala. Ubungo Plaza hawataweza kuja ni mbali na watashidwa kufika, si unajua vitu vilivyo tulia havitaki usumbufu!Hehehe vingunguti mbali bhana fanya ubungo plaza
Mwongozo hawa wakina joan tedi na jack ni kina nani?hapo kona baa kuna watu wanaweza kuwasaidia wakati mnaendelea na kikao joan 0713661635, tedi 0755184948 na jak 0718984718. mkutano mwema
Kama utakumbuka kuna jamaa alianzisha uzi akidai mke wake alimwambia 'lete kibamia chako haraka nikinyonye'. Huyu ndiye mlezi wa chama chetu hiki kitukufummh hivi mlezi wa chama ni nani tena? hapo kwenye changamoto ndo iwe agenda kuu ya mkutano
Betri ya saa ya ukutani au utumbo wa kuku....Saizi gani ndo inakuwezesha kuwa mwanachama ????????