G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Jinga kabisa wewe!Nimeajiri watanzania wenzio mia 300 nchi nzima, nimeizidi serikali ya awamu ya 5 kwa kuajiri raia wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinga kabisa wewe!Nimeajiri watanzania wenzio mia 300 nchi nzima, nimeizidi serikali ya awamu ya 5 kwa kuajiri raia wengi.
Sisi walala hoi wala hatuna pressure sana maana hata hiyo corona inajua pa kupigaIbara ya 1 ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa Tanzania ni dola huru yenye mamlaka yake ya kujitawala..
Nani amewalazimisha nyie chokambaya? Mnakonyeza gizani na wala hakuna anayewaangalia,mnabaki kujikoholesha koholesha kama changu anayetafuta attention ya mabwana.Kama ipi? Kutulazimisha chanjo ya Covid 19? Na matumizi holela ya barakoa?
Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiJoni anapoteza muda tu
Hata ukiwa na akili za kutosha tu ni pesaKwa hiyo hata wewe kibaraka una pesa?
Umemaliza kaziNimeajiri watanzania wenzio mia 300 nchi nzima, nimeizidi serikali ya awamu ya 5 kwa kuajiri raia wengi.
Sisi wana muhambwe tuna masikitiko makubwaMungu ameikoa Tanzania mpaka sasa
Wanajua hilo fika ila sema njaa ndiyo inawaendesha puta na kujitoa akiliKuna mikataba lukuki tulio saini huko UN ambayo inatubana na hatuwezi kujitoa kwasababu sis bado ni nchi tengemezi...
Yaani wazungu walianza kuwa na akili kitambo sana kabla ya kukupa huo Uhuru fake...
-Muwe mnasoma Basi kabla yakujaza savers za watu
Wakati wao hao mabeberu wapo pembeni wanatucheki kwa dharaauu tunavyo hangaikaKwani taifa gani limetulazimisha kutumia chanjo ya Covid? Au tunajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe?
Upuuzi mtupu
Mmawia, mweda hawajambo?Sisi walala hoi wala hatuna pressure sana maana hata hiyo corona inajua pa kupiga
Uhuru bila mipaka ni wendawazimu na maisha bila uhufu ni utumwa. Lazima ubalance hivyo viwili ili maisha yakae sawa. Uhuru Wa MTU au taifa unaishia pale unapgusa Uhuru Wa watu auvtaifa jingine.Wakati wao hao mabeberu wapo pembeni wanatucheki kwa dharaauu tunavyo hangaika
Mungu ameikoa Tanzania mpaka sasa
hahaha kila anae kupinga ni kibaraka.Umesoma mada ukailewa? Unajua wewe pia ni kibaraka wa mabeberu.
Kufunga ubuyu kwa jiko la mkaa?Nimeajiri watanzania wenzio mia 300 nchi nzima, nimeizidi serikali ya awamu ya 5 kwa kuajiri raia wengi.
Kama wewe.vibaraka wa mabeberu ni watu wa aina gani
hilo siyo jibu mkuu au ndo maana unalipwa elfu saba kwa week?Kama wewe