Mzee acha tu wengine tuna ustahimilivu sema ndo hivo watanzania wenzetu ndo wanaoleta yote haya.Kaka mimi ningemrukia mchina na kufa na shingo yake hapohapo ningehakikisha nakaba koromeo hadi afeeee
Dah tuvumilie yana mwisho masta.Mzee acha tu wengine tuna ustahimilivu sema ndo hivo watanzania wenzetu ndo wanaoleta yote haya.
Poa inbox meMwanangu vip? nataka tukutane unioneshe machimbo ya bidhaa bei rahisi k/koo tusake tonge
This member limits who may view their full profile,,HICHO NDO NACHOKUTANA NACHOPoa inbox me
Hawa jamaa ni kweli huwa inawalipa sana, maana huwa wanaongeza kuanzia mia mbili hadi mia tano sometimes kama maduka yako ndichi basi mpaka buku kabisa.Hii kazi nilishaifanya ilinifaa sana kuingiza elfu 15 ni rahisi sana na hamna sheria za kukubana sijui ingia kazini saa ngapi no ,hakuna raha duniani km kujiajiri ila hii biashara ya kununua vitu vidogo kariakoo na kuvizungusha kwenye maduka ya mangi kwa bei ya jumla inalipa unachukua vitu km dawa ya mbu pipi, biscuit superglue nk ukienda siku ya kwanza ya pili utapata idea mpya uongeze nn all the best
SAS unataka mtu Eti kupkia na kupanga unga kwnye lorry ulipwe laki nane Kweli yaani uje asbuhi ushike nyuzi na kupanga unga ndio ulipwe milion kweli 😃😎 ujira Ni mzuri Ila angalau kima Cha chini kifike 350 at leastViwandani wananyonya sana wafanyakazi.
Malipo ni kiduchu sana.
Hakuongelea tajiri wa pesa na mali, bali RohoMkuu ndio mana maneno matakatifu yanasema ni heri ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa mbingu
Nenda pwani kuna viwanda wanalipa freshAisee Mr, hamna kiwanda kingine wanalipa maslahi mazuri kidogo zaidi na hapo kwa siku
Ni mtihani chief halafu unakatwa na nssf hata Kama ni siku ya kwanzaI'll kazi ya pale Kwa malipo ya elf 4. Huwezi kurudi tena maisha yako yote
Hakuna kazi pale. Pale mnalipwa buku 4. Na ukila chakula buku maji jero inabaki 2500/= toa nauli 1000. Inabaki 1500 ndio unaiacha kwako
hapo hatari yaani ukiingia tu mle ndani ni kama uwanja wa vita kwanza kuna giza halafu kitu kinachotoa mwanga ni moto mmoja mkali wa rangi ya blue joto sasa nimefika pale nimezunguka kama week unawahi unaambiwa leo kumejaa dah ila ukipata unapiga mzigo kuna kitengo kuanzia 10k mpaka 30k kwa siku ila shughuli yake ukitoka kama umechovywa kwenye masizi😀 Jamaa ananambia uji wa chuma huu hapa , wewe unapiga mzigo hapa (Metro Steel cha Jeti Lumo )
alienda siku moja tu
Huko ndio hakufai hata kidogoLabda ukaangalie darlin kule Mbagala Kongowe.. Wao wa nalipa Kwa wiki
Pwani mfano ni Kiwanda gani mkuu, tukajaribu kuomba nafasiNenda pwani kuna viwanda wanalipa fresh
Ila kuna comment zinachekesha huku machozo yakinilenga jinsi vijana wa kitanzania tunavyopitia magumu...hapo hatari yaani ukiingia tu mle ndani ni kama uwanja wa vita kwanza kuna giza halafu kitu kinachotoa mwanga ni moto mmoja mkali wa rangi ya blue joto sasa nimefika pale nimezunguka kama week unawahi unaambiwa leo kumejaa dah ila ukipata unapiga mzigo kuna kitengo kuanzia 10k mpaka 30k kwa siku ila shughuli yake ukitoka kama umechovywa kwenye masizi
hatari mzee ikitokea ukakutana na mtu mkiwa mnatokea mle anaweza sema misukuleIla kuna comment zinachekesha huku machozo yakinilenga jinsi vijana wa kitanzania tunavyopitia magumu...
......"ukitoka huko unakua kama umechovywa kwenye masizi"
YA?Kama hutajali nipigie connection na mimi mkuu
Atalala hata stendi, posho ya siku 3 akitenga 5k kila siku kwa siku nne amepata chumba cha kupangaMbeya atakua na mwenyej I mkuu au unaona imekaaje hii