A
Anonymous
Guest
Mazingira hayako vizri yaani vibarua wanaingia saa 2 ASUBUHI na wanatoka 2 usiku Ili hali wanafnya kazi katika mazingira hatarishi.
Hamna vifaa vya kujikinga na hewa chafu mule NDANI, hamna hata special boots na vifaa vitakvyomuweka salama.
Mfanyakazi (vibarua) wanalipa elf 4 Hadi elf 5 kwa siku sio MBAYA Sana kwa mtanzania wa kawaida ila ombi langu mazingira yarekebishwe ya ufanyaji kazi
Hamna vifaa vya kujikinga na hewa chafu mule NDANI, hamna hata special boots na vifaa vitakvyomuweka salama.
Mfanyakazi (vibarua) wanalipa elf 4 Hadi elf 5 kwa siku sio MBAYA Sana kwa mtanzania wa kawaida ila ombi langu mazingira yarekebishwe ya ufanyaji kazi