DOKEZO Vibarua wa Kiwanda cha NIDA Ubungo tuna hali mbaya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Mazingira hayako vizri yaani vibarua wanaingia saa 2 ASUBUHI na wanatoka 2 usiku Ili hali wanafnya kazi katika mazingira hatarishi.

Hamna vifaa vya kujikinga na hewa chafu mule NDANI, hamna hata special boots na vifaa vitakvyomuweka salama.

Mfanyakazi (vibarua) wanalipa elf 4 Hadi elf 5 kwa siku sio MBAYA Sana kwa mtanzania wa kawaida ila ombi langu mazingira yarekebishwe ya ufanyaji kazi
 
4000/5000 per day afu unasema Sio mbaya 🤔🤔🤔🤔
 
Bota niendelee kuuza Mtumba,day yako ya week naweza pata siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…