Easy Dude.
Member
- Oct 9, 2014
- 11
- 7
Mimi nashangaa sana watu wanakaa wanajadiri ooh viboko mambo ya kizamani!..ooh viboko ukweli ni kwamba mitoto ya cku hizi bila fito hainyooki, hata kama magenius wachache tz ila mbele ya kiboko lazma waongezeke na matahira wapungue....u cant teach an old dog new styles, but with sticks it will learn! RAHA YA SHULE FIMBO BANA asikwambie mtu....
kwan nani kakwambia mimi ni mwalimu? ---- dat! mimi nimeandika hayo nikimaanisha kuchapa kwa kumrudi mwanafunzi sijamaanisha kwa kuonea....hapa nilipo niko chuo na nachukua scientific course(siri yangu) lakini mpaka hapa nilipofika ni kwa sababu nilichapwa na kufunzwa njia nzuri ya kupitia kwa nn wadogo zetu tuwalemaze??