Easy Dude.
Member
- Oct 9, 2014
- 11
- 7
Mimi nashangaa sana watu wanakaa wanajadiri ooh viboko mambo ya kizamani!..ooh viboko ukweli ni kwamba mitoto ya cku hizi bila fito hainyooki, hata kama magenius wachache tz ila mbele ya kiboko lazma waongezeke na matahira wapungue....u cant teach an old dog new styles, but with sticks it will learn! RAHA YA SHULE FIMBO BANA asikwambie mtu....