Kama wanajua yalipo na yanavyopangwa kutumiwa kwanini wasitumie muda kupanga kuyakamata "live"? Ingekuwa ndio ushahidi mzuri kweli hasa kwenye mazingira ya digital camera na internet.. sasa yasipotokea Jumapili tutaamini kuwa yamedhibitiwa siyo? Na kama hayakuwepo? Chadema ina mawakala kwenye kila kituo?
Uongo huo! nani wa kuaminika CHADEMA?
Uongo huo! nani wa kuaminika CHADEMA?
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo.
Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli?.Au ni visingizio tu,make siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea,na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naomben kwa mwenye taarifa zaid atujuze!
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo.
Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli?.Au ni visingizio tu,make siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea,na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naomben kwa mwenye taarifa zaid atujuze!
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo.
Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli?.Au ni visingizio tu,make siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea,na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naomben kwa mwenye taarifa zaid atujuze!
hapo kwenye nyekundu ni kwamba taarifa za uhakika huwa hazina kawaida ya kudai bali huwa zinaeleza kwa kuwa tayari zina uhakika! pili si mara ya kwanza kwa chadema kudai kuna kura za wizi,rejea mwaka jana kule tunduma mlipodai masanduku ya kura yameingizwa nchini kumbe vipodozi na msivyo waungwana mpaka leo mmeshindwa hata kuomba radhi wakati ile ilikuwa ni fitna ambayo ingeweza kuligawa taifa vipande,tatu,msipoanza kusema uongo kama huu hamtaonewa huruma na mengi na akina sabodo tena make wamekufadhilini magari na helkopta so mnatengeneza mazingiira ya kuwa pleased! bye,tarehe 2 october kichapo kikali igunga