Elections 2010 Vibweka vya Uchaguzi Igunga: Mabasi kukamatwa, masanduku kwa DC na mengineyo..

Elections 2010 Vibweka vya Uchaguzi Igunga: Mabasi kukamatwa, masanduku kwa DC na mengineyo..

Unafafana na ule wa CDM kuingiza makomandoo 33 au ule uliokiua chama cha CUF kuwa kimeingiza mapanga na visu? CCM ni mabingwa wa propaganda, isipokuwa saizi wamekutana na barrier kubwa ya uelewa wa wananchi na kiu kubwa ya kuona mabadiliko baada ya kuichoka CCM na sera zake zisizo tekelezeka.

Daaah haha ha ha watu wanarejea jamani!!!
 
Jamani wote ambao tunataka kupata uhuru kamili na sio huu wa bendera ,ni wakati sasa wa kutumia kila mbinu kuiondoa hili jinamizi la magamba[c.c.m] maana hawa watu wanalaana ya mungu na hata mwanzilishi wa c.cm j.k nyerere kawaachia laana tu.ndio maana leo hii wanatapatapa tu na mambo ya uzushi
 
Nakubaliana nawe Crashwise ila mbinu hiyo ni risk sana kwa huyo mtu na effect yake huwa si kubwa kwa vile wanaofanya hivyo ni wachache ni wale waliopata mafunzo. Kuna mbinu zenye effect kubwa kama vituo hewa yaani kati ya vituo say 427 vilivyopo 7 vinakuwa hewa, huwa tunavitambua kwa vile utashangaa ndivyo vinaongoza kwa turnout, kwenye majumuisho anakuja mtu kwenye gari from no where amebeba masanduku anasema anatokea kituo X kwa vile hamjuani mnakubali, lakini hii inatokea kama kituo hicho hakina wakala wa CDM aliye mwaminifu. Hii mbinu imetumiwa sana mikoa ya kusini Lindi Mtwara ambapo kuna baadhi ya vituo havikuwa na mawakala wa wapinzani ila kwa aibu CCM walikuwa wanatafuta watu na kuwalipa kujifanya wanawakilisha chama fulani ili kufanya watu waamini hakuna hujuma.

Kama ulijua ccm walifanya hivyo huko mtwara ulichukua hatua gani za kisheria?

Kama hajachukua hatua yeyote ile unaonaje ukiambiwa kuwa wewe ni mtengenza majungu na fitna ili kuleta vurugu ktk demokrasia?

CDM mlishindwa nini kuweka mawakala waaminifu?
 
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Chadema zimedai kuwa karatasi hizo pamoja na maboksi hayo ya kura yamehifadhiwa nyumbani kwa mkuu wa wilaya hiyo, taarifa ambazo zimekanushwa vikali na kiongozi huyo.

Chadema kimesema kuna njama za kuingiza kura bandia Igunga na kwamba tayari karatasi na masanduku ya kura yamefikishwa mjini Nzega kwa ajili ya kuingizwa Igunga siku ya uchaguzi.

Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika jana majira ya saa tano asubuhi katika Kata ya Nkinga, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe alisema Chadema kina taarifa za uhakika kwamba tayari karatasi hizo zimeshawasili wilyani Nzega.

Ndugu waandishi mlioko katika mkutano huu, hii ni taarifa rasmi ya chama na kwamba tuna taarifa za uhakika kwamba karatasi hizo zimehifadhiwa nyumbani kwa ofisa mmoja wa Serikali, alisema Mbowe.

Aliendelea kusema kuwa tayari karatasi hizo zimeshapigwa kura na kudumbukizwa kwenye maboksi ya kupigia kura tayari kwa kuyaingiza kwenye vituo vya kupiga kura.

Mbowe alisema kuwa tayari vijana wa Chadema wameshakwenda Nzega kuimarisha ulinzi ili kuhakikisha karatasi hizo haziingii Igunga.
Mbowe aliendelea kusema kuwa mpango huo wa CCM unatekelezwa kwa msaada mkubwa wa usalama wa taifa na kuonya kuwa iwapo zinaingia Igunga basi hapatakalika.

Source: Mwananchi

Taarifa kama hizi ni viashiria vitakavyopelekea uchaguzi mdogo wa Igunga usiwe wa amani. Hivi kama ni kweli mambo kama haya yapo inakuwaje Mheshimiwa Mbowe apaze tu sauti kwenye jukwaa pasipo kutoa taarifa na vithibitisho kwenye vyombo vya usalama vilivyo na jukumu la kufuatilia mambo kama haya? Hivi inaingiaje akilini CDM kutuma vijana wake Nzega kufanyakazi ambazo si majukumu yake? Kuhusisha chombo cha Usalama wa Taifa katika hili ni kukidhalilisha.

Yafaa vyombo vya usalama vimpate Mheshimiwa Mbowe asaidie ili wote wanaohusika wakamatwe mara moja kabla mambo hayajakwenda ndivyo sivyo
 
BBJ mimi nakubaliana nawe asilimia 100. Nimewahi kuandika sana humu kuwa CCM kamwe haiwezi kutoka kwa sanduku la kura, zinahitajika nguvu. Wakuu CDM mkitoka Igunga itisheni maandamano Dar kuipinga CCM, Taifa sasa limeiva kwa ukombozi, hakuna haja ya kupoteza muda. Tufanye kama Libya maandamano kisha mtutu mpaka watokomee.

hiyo huwa ni hatua ya mwisho. Bado hatujafikia hatua hiyo.
 
Taarifa kama hizi ni viashiria vitakavyopelekea uchaguzi mdogo wa Igunga usiwe wa amani. Hivi kama ni kweli mambo kama haya yapo inakuwaje Mheshimiwa Mbowe apaze tu sauti kwenye jukwaa pasipo kutoa taarifa na vithibitisho kwenye vyombo vya usalama vilivyo na jukumu la kufuatilia mambo kama haya? Hivi inaingiaje akilini CDM kutuma vijana wake Nzega kufanyakazi ambazo si majukumu yake? Kuhusisha chombo cha Usalama wa Taifa katika hili ni kukidhalilisha. Yafaa vyombo vya usalama vimpate Mheshimiwa Mbowe asaidie ili wote wanaohusika wakamatwe mara moja kabla mambo hayajakwenda ndivyo sivyo

wewe akili zako fupi kweli yani vijana wa cdm tusiende kuwadhibiti hawa wez kutegemee usalama! Hv ww uko bongo kweli?hujui hawa usalama ni usalama wa ccm?na katika billions of sh. za uchaguz igunga nao fungu lao lipo, sasa ndo tuwategemee hawa usalama kudhibiti hujuma?! Tumia akili wewe.
 
Kubeza taharifa c jambo zuri, bali kutafakari ni vema, ktk kutafakari kwangu napata swali moja kubwa, ilivyosasa tune radio zote, ama TV zote utakuta habari karibu zinafanana, habari hizi zilizopatikana kwenye radio ya chama tu inawia ngumu kuamini, ingawa kwa wa Tz, yoyote anaweza kuongea chochote na lolote hata pasipo vthibitisho naye akawa ni mshindi, mbona waziri Ngeleja alisema tatizo la umeme litakwisha July, 2011, na sisi kumbe tumegeuza kalenda na tungali tumeweka mikono nyuma, Tz wanyenyekev
 
Haya ndio mabasi manne ya nayosemekana yamekamatwa!
308727_273973835957370_100000342668655_968851_1035804335_n.jpg
 
Kubeza taharifa c jambo zuri, bali kutafakari ni vema, ktk kutafakari kwangu napata swali moja kubwa, ilivyosasa tune radio zote, ama TV zote utakuta habari karibu zinafanana, habari hizi zilizopatikana kwenye radio ya chama tu inawia ngumu kuamini, ingawa kwa wa Tz, yoyote anaweza kuongea chochote na lolote hata pasipo vthibitisho naye akawa ni mshindi, mbona waziri Ngeleja alisema tatizo la umeme litakwisha July, 2011, na sisi kumbe tumegeuza kalenda na tungali tumeweka mikono nyuma, Tz wanyenyekev
 
Kama wanajua yalipo na yanavyopangwa kutumiwa kwanini wasitumie muda kupanga kuyakamata "live"? Ingekuwa ndio ushahidi mzuri kweli hasa kwenye mazingira ya digital camera na internet.. sasa yasipotokea Jumapili tutaamini kuwa yamedhibitiwa siyo? Na kama hayakuwepo? Chadema ina mawakala kwenye kila kituo?

Mzee Mwanakijiji,

Ni kama vile uko kwenye mawazo yangu. Kama kweli hizi taarifa ni za uhakika kulingana na CHADEMA na kwamba hayo MASANDUKU YENYE KURA ZILIZOPIGWA TAYARI KWA AJILI YA CCM BASI MIMI NAWAOMBA VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHADEMA;Mhe. Mbowe,Dr. Slaa,Mhe.Zitto Kabwe,Mhe. Lema,Waitara na wengineo ambao najua wako Igunga wahakikishe hayo masanduku yanafuatiliwa 24 hours kuanzia sasa na ikiwezekana yakamatwe mara moja na kukabidhiwa Polisi.

Kwa vile Polisi na UWT wanatumiwa NA CCM najua Igunga kuna JESHI LA SUNGUSUNGU ambalo lipo kisheria basi wana CHADEMA watumie jeshi la Sungusungu kukamata masanduku hayo ili KUWAUMBUA CCM. Hili lazima lifanyike kabla ya usimu wa kuamkia tarehe 2 Oktoba,2011 ambayo ni siku ya Uchaguzi.

Kama CHADEMA hawatafanya hivo tutajua basi wanataka kuudanganya umma wa Watz na kwa hiyo wanataka kutafuta kisingizio cha KUSHINDWA KWENYE UCHAGUZI HUU WA IGUNGA KITU AMBACHO SIYO KWELI.
 
panapo toka roho si mchezo lazma kuna kutapatapa,wamesha anza tayari kulalama CDM.
Kulalama?
Kweli mmeolewa na li Ccm.
Igunga mkiiba kura tunawatandika risasi kwa upumbavu wenu.
 
Kubeza taharifa c jambo zuri, bali kutafakari ni vema, ktk kutafakari kwangu napata swali moja kubwa, ilivyosasa tune radio zote, ama TV zote utakuta habari karibu zinafanana, habari hizi zilizopatikana kwenye radio ya chama tu

inawia ngumu kuamini, ingawa kwa wa Tz, yoyote anaweza kuongea chochote na lolote hata pasipo vthibitisho naye akawa ni mshindi, mbona waziri Ngeleja alisema tatizo la umeme litakwisha July, 2011, na sisi kumbe tumegeuza kalenda na tungali tumeweka mikono nyuma, Tz wanyenyekev


Hivi kwa akili yako unategemea radio Uhuru au Tbc FM watangaze hill?
Tumia akili bro au kichwani umepaki nini? ?????
 
Ccm wana mbinu nyingi sana.chadema wanahitaji kuwa makini...ukumbukwe uchaguzi wa tarime alipofariki Chacha Wangwe(R.I.P)...chadema walikomaa hadi kikaeleweka.lakini wakitegemea zaidi people's power.hivyo kama watu wa igunga wakiwa imara kama walivokuwa watu wa tarime...basi whatever ccm plan to do will in vain.
 
Taarifa kama hizi ni viashiria vitakavyopelekea uchaguzi mdogo wa Igunga usiwe wa amani. Hivi kama ni kweli mambo kama haya yapo inakuwaje Mheshimiwa Mbowe apaze tu sauti kwenye jukwaa pasipo kutoa taarifa na vithibitisho kwenye vyombo vya usalama vilivyo na jukumu la kufuatilia mambo kama haya? Hivi inaingiaje akilini CDM kutuma vijana wake Nzega kufanyakazi ambazo si majukumu yake? Kuhusisha chombo cha Usalama wa Taifa katika hili ni kukidhalilisha. Yafaa vyombo vya usalama vimpate Mheshimiwa Mbowe asaidie ili wote wanaohusika wakamatwe mara moja kabla mambo hayajakwenda ndivyo sivyo

wewe akili zako fupi kweli yani vijana wa cdm tusiende kuwadhibiti hawa wez kutegemee usalama! Hv ww uko bongo kweli?hujui hawa usalama ni usalama wa ccm?na katika billions of sh. za uchaguz igunga nao fungu lao lipo, sasa ndo tuwategemee hawa usalama kudhibiti hujuma?! Tumia akili wewe.
 
Back
Top Bottom