bendee
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 111
- 146
1) Wanaweka simu zao kwenye mapochi makubwa halafu ikiita anaanza kuitafuta hajui inaitia wapi!
2) Siku zote wao wanabeba mapochi makubwa (hand bag) ambalo amejaza makororo kibao ambayo hata hana shida ya kuyatumia lakini anaamini ipo siku atayahitajia!
3) Utamuona yupo bize anaitafuta miwani yake ya jua (sun glasses ) wakati kaivalia kichwani!
4) Akiwa na haraka yakutoka utamwona anatafuta ufunguo wakufunga mlango kila kona wakati funguo zenyewe amezishika mkononi!
5) Siku zote wao wanajitizama kwenye kioo kabla kutoka kwenda kazini au kwenda nje! Na ukute ana miliki usafiri wa gari basi akiingia garini anajitizama tena kwenye kioo! Hahaha ni shidaa!
6) Utakuta kabati limejaa nguo nab ado anakuambia hajui au hana nguo ya kuvaa!
7) Akitaka kwenda msalani kama yupo kwenye semina au mkutano lazima amtafute mwenzake ampe kampani ya kwenda msalani
8) Siku zote wana wasi wasi kuhusu muonekano wa maziwa yao, mara aya hisi yamelala mara ayahisi nimakubwa!
9) Wanafikiri bia zote zina ladha sawa!
10) Anakwenda safari ya siku tatu tuu lakini kwenye begi anapaki viwalo vya siku kumi!
Hebu na wewe tupia vyengine!!!
2) Siku zote wao wanabeba mapochi makubwa (hand bag) ambalo amejaza makororo kibao ambayo hata hana shida ya kuyatumia lakini anaamini ipo siku atayahitajia!
3) Utamuona yupo bize anaitafuta miwani yake ya jua (sun glasses ) wakati kaivalia kichwani!
4) Akiwa na haraka yakutoka utamwona anatafuta ufunguo wakufunga mlango kila kona wakati funguo zenyewe amezishika mkononi!
5) Siku zote wao wanajitizama kwenye kioo kabla kutoka kwenda kazini au kwenda nje! Na ukute ana miliki usafiri wa gari basi akiingia garini anajitizama tena kwenye kioo! Hahaha ni shidaa!
6) Utakuta kabati limejaa nguo nab ado anakuambia hajui au hana nguo ya kuvaa!
7) Akitaka kwenda msalani kama yupo kwenye semina au mkutano lazima amtafute mwenzake ampe kampani ya kwenda msalani
8) Siku zote wana wasi wasi kuhusu muonekano wa maziwa yao, mara aya hisi yamelala mara ayahisi nimakubwa!
9) Wanafikiri bia zote zina ladha sawa!
10) Anakwenda safari ya siku tatu tuu lakini kwenye begi anapaki viwalo vya siku kumi!
Hebu na wewe tupia vyengine!!!