Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Unakuta bado uko team mafisi, huna mke halafu anatokea kichaa mmoja mwenye kila sifa ya kuwa mke...anatabasamu muda wote...tukubaliane ndugu yangu,nawe usingejitia ukichaa ili muwe vichaa wote muyajenge? cc mshana jr
Zali la mentaliUnakuta bado uko team mafisi, huna mke halafu anatokea kichaa mmoja mwenye kila sifa ya kuwa mke...anatabasamu muda wote...tukubaliane ndugu yangu,nawe usingejitia ukichaa ili muwe vichaa wote muyajenge? cc mshana jr
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Miss nahisi babaako mdogo power yake haina tofauti na power ya Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Miss nahisi babaako mdogo power yake haina tofauti na power ya Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
Technically Mfu ni binadamu mwandamizi yaani ingekuwa vyeo vya kijeda tuseme basi mfu keshamaliza nyota zote za kibinadamu hivyo kusema naye si jambo baya kwa kuwa hata mkulu wa wajeda huwa anaongea na makuruta wasio hata na V!nasubiria jibu
[emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji102] [emoji115] [emoji125] [emoji125] [emoji125]ngoja nifanye mchakato niwaunganiishe
Ndo hivyo mkuu[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] nimekumbuka ulivyomwambia yule dem kuwa atakufa na akafa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Vizuri Mshana ata upgrade kipaji chake
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuuTechnically Mfu ni binadamu mwandamizi yaani ingekuwa vyeo vya kijeda tuseme basi mfu keshamaliza nyota zote za kibinadamu hivyo kusema naye si jambo baya kwa kuwa hata mkulu wa wajeda huwa anaongea na makuruta wasio hata na V!
Duu [emoji144] [emoji144] [emoji144]kabisa ila ajiandae kuongea na wafu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unakuta bado uko team mafisi, huna mke halafu anatokea kichaa mmoja mwenye kila sifa ya kuwa mke...anatabasamu muda wote...tukubaliane ndugu yangu,nawe usingejitia ukichaa ili muwe vichaa wote muyajenge? cc mshana jr
ha ha ha