Vichaa huona nini?

Technically Mfu ni binadamu mwandamizi yaani ingekuwa vyeo vya kijeda tuseme basi mfu keshamaliza nyota zote za kibinadamu hivyo kusema naye si jambo baya kwa kuwa hata mkulu wa wajeda huwa anaongea na makuruta wasio hata na V!
sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…