Vichaa huona nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana hii ni wapi?
 
Ni mawazo tu! Kichaa ni kupungua kwa Uwezo wa akili ya kawaida kuzuia fikra za kimawazo kuwa matendo kamili yasiyoonekana huku muhusika akiamini yanatendeka na kuonekana.

Khali hii, huvikuta viumbe vyote haswa aina ya wanyama.Ndo maana wakati mwingine binadamu anawaza mambo kwa kuyatengeneza yy mwenyewe na kuyafurahia/kuyachukia na akishindwa kujizuia atatoa sauti/kukimbia/kukaba.
Au kufanya tendon lolote lisilo la kawaida machoni pa watu.

Khali hii ikiwa na muendelezo wa Siku kwa Siku MTU huyu au kiumbe hiki huitwa kichaa,hivyo kila MTU ni kichaa kwa kiasi Fulani maana hakuna asiye na fikra za kimawazo zisizotendeka kuwa matendo kamili.huku yy mwenyewe akifurahi au kuchukia au kukimbia au kutabasamu.
 
Ni kweli kitabu cha UFUNUO ni dilutional thoughts za muandishi?! kwamba aliyokuwa akiyasimulia ni yeye tu aliyaona, na ni vitu vya kufikirika tu. Je Unaamini anaweza kuwa alikuwa KICHAA a.k.a MWEHU
Hapana hakuwa delusional labda kama unamsoma juu juu na huelewi... Ukiangalia anapoongelea kuhusiana na mpangilio wa namba, nyota na vitu na ukafananisha na yale yanayotokea na kufanyika sasa ukimwenguni hasa kwenye level za kimason utaona ule ni ufunuo mkubwa... Ngoja nina mada yake nikiipata takualika
 
Ni kweli kiongozi..mimi pia nishaona watu wengi wakiwanyanyasa na kuwapiga wenye matatizo ya akili...Mungu awalinde waja wake hawa..nawahurumia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeyote anaye mnyanyasa kichaa na yeye anatakiwa apimwe akili, unaweza kumkimbia kwa matendo yake unapokutana naye barabarani na si kumpiga au kuonyesha humpendi, Ni binadamu yule na hujui sababu ilyompelekea kuwa hivyo, huwa nawahurumia sana hao watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…