Vichaa huona nini?

Nilikutana na kichaa akaniambia

"KWANZA MADEMU WATAKULILIAAA BAADAE WATAKUFAKUFA WEWE UTAWAOKOTA NA KUWARUDISHIA MIA MBILI ZAO"



14yrs passed ila bado hii kauli naikumbuka na sijaipatia maana hata leo.
 
Mmmh..... [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Nilikutana na kichaa akaniambia

"KWANZA MADEMU WATAKULILIAAA BAADAE WATAKUFAKUFA WEWE UTAWAOKOTA NA KUWARUDISHIA MIA MBILI ZAO"



14yrs passed ila bado hii kauli naikumbuka na sijaipatia maana hata leo.
 
Ugonjwa WA akili ulimfanya baba ajiue poor me I was 6 years old 1994...Mwnzo WA kutaabika MA maisha..... Rest in peace Dear Dad.. As they claim there is second life.. We will meet again.. I miss your love and care....
Pamoja nakuugua ugonjwa WA akili I was your favorite pet... James Arthur
 
Imaginations zinazofanya akili kuchanganyikiwa
 
We huoni cha kwako. We ni wale vichaa wasafi wa kuoga ila akili shoti mbayaaaa
Vipi na kichaa cha ndugu yetu kilanja mkuu nasikia nae alishaonja joto ya mawe milembe


Swissme
 
Duh ni kama umenikumbusha kitu Mshana mm kwanza hua Nashangaa ile Natural Immune yao ilivyo hata wale nn hua si rahisi kuharisha au kuumwa sasa ilitokea Niko kwenye mgahawa napata chakula Akaja mgonjwa mmoja akaenda kwenye Dustbin anapekua chakula nikamwambia mhudumu kile changu amfungie kwenye foil ampe na soda aende duh yule mgojwa akanipa mkono unaotoka kwenye dustbin ikabidi sina jinsi niupoke kama tunasalimiana kwa kuagana hivi Ebwana wiki nilipata pesa iyo nje kabisa ya kipato changu cha kawaida Naomba sana Jamii tusiwadharau ukihisi unauwezo wa kumsaidia msaidie japo dogo upendo wako hautopotea bure Amini .
 
Duu asante sana kwa ushuhuda... Umenifundisha jambo kubwa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji116][emoji116][emoji116][emoji40][emoji40][emoji40][emoji124][emoji124][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kama yule mtu wa chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…