Vichaa huona nini?

Yupo kichaa mmoja, mara kwa mara akipita mitaa ya home huwa kuna nyumba anagonga hodi, kwetu pia huwa anagongaga hodi.

Akija tunampa jero huwa na shukrani sana na kuomba kwa mungu kuwa tubarikiwe. Zile nyumba ambazo hagongi mlango ni zile ambazo huwa akifika hufukuzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa interview moja tulikuwa wengi kwa kweli mkoa fulani. Tumekaa kikundi kama kumi akapita kichaa mmoja akawa anapoint akaja kwangu akasema wewe utakuwa na wadhifa mkubwa katika kazi ile. Basi bana nikawa naona masihara ila huwezi amini nilipita inter view ile mpaka leo miaka12 [emoji846][emoji3][emoji2]hapa nasikilizia kama nitapata hicho cheo.
 
Soma hii


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nliwahi shuhudia kuna kichaa alipishana na wadada mmoja kati yao nafahamiana nae,akamwambia halafu wewe una mimba...yule dada akashangaa kumbe ni kweli aisee baadae ndo wakakumbuka kichaa alisema lakini
 
MAD WOMAN GIVES BIRTH TO TWINS IN THE MARKET.

"Been seeing this mad woman for almost a year now on my way to work. She always looks so happy & unlike other mad people who are furious & wild, she's such a calm & friendly soul. if not for the fact that she looks dirty, you would hardly even notice she is mentally ill.

When i saw her pregnant, i couldn't help but shed tears, someone must have taken advantage of her calm & friendly nature & got her pregnant.
Every weekend, i take some food along for her & try to clean up the nasty & dirty looking environment in which she sleeps..

During her pregnancy, There hasn't been a single day she was being examined by a doctor, I always had this fear she might not give birth successfully without complications because of the type of unkept food & very dirty water she has been drinking.
But today, everyone was shocked when she gave birth to twins in the market, very cute & healthy babies.[emoji1317][emoji1317]
 
"Nimekuwa nikimuona mwanamke huyu mwenye kichaa kwa karibu mwaka mmoja sasa nikielekea kazini. Anaonekana mwenye furaha sana na tofauti na watu wengine wazimu ambao wana hasira na wakali, yeye ni mtulivu na mwenye urafiki. ikiwa sivyo kwa sababu anaonekana mchafu. , hungeweza hata kutambua kwamba ana ugonjwa wa akili.

Nilipomwona akiwa mjamzito, sikuweza kujizuia kumwaga machozi, lazima kuna mtu alichukua fursa ya hali yake ya utulivu na urafiki na kumpa ujauzito.
Kila wikendi, mimi humpelekea chakula na kujaribu kusafisha mazingira yenye sura chafu na chafu anamolala..

Wakati wa ujauzito wake, Hakuna hata siku moja alikuwa anachunguzwa na daktari, siku zote nilikuwa na hofu kwamba anaweza asijifungue kwa mafanikio bila matatizo kwa sababu ya aina ya chakula kisicho na maji & maji machafu sana ambayo amekuwa akinywa.
Lakini leo kila mtu alishtuka alipojifungua mapacha sokoni, watoto wazuri na wenye afya tele.[emoji1317][emoji1317]
 
Your browser is not able to display this video.
 
Hatujui.
 

Mungu mkubwa[emoji2969]
Ukute hao watoto ni wazima kiakili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…