Heshima kwenu,
CCM no sawa na mtu aliyeshindwa kulea na kuhudumia watoto wake, lakini anaomba kujitolea kumtunza Yatima IL Hali watoto wake wamemshinda.
Angalia, Kipara kipya, Magonjwa Mtambuka,lakini na wana CCM kiujumla wanavyoshupalia kumponda Lissu,na kutamani Mbowe agombee na aendelee kuwa Mwenyekiti.
Wakati Toka zamani walitamani Mbowe aondoke.
Cha ajabu Toka KUPOPOLEWA Kinana kwenye umakamu Mwenyekiti CCM, nafasi bado iko wazi,Kuna nini mbona haijazwi??
Mbona wanakuwa wakarimu kuzima moto kwa jirani wakati Kwao unawaka pia????