Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.
Amewashinda wafuatao :
◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)
Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.
Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️
◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.
Miguel Gamondi mwezi Mei :
◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.
Aibu naona Mimi.
Amewashinda wafuatao :
◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)
Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.
Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️
◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.
Miguel Gamondi mwezi Mei :
◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.
Aibu naona Mimi.