Vichekesho na aibu ya Bodi ya Ligi tuzo za mchezaji na kocha bora mwezi Mei

Vichekesho na aibu ya Bodi ya Ligi tuzo za mchezaji na kocha bora mwezi Mei

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :
◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
 
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :

◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
Aisee hauko peke yako. Hizo takwimu ni aibu kwa wapenda michezo wote.
 
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :

◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
Hongera kwa washindi.....kura ndio zimeamua
 
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :

◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
Kuna thread mdau alikuwa anauliza hao wazee wa kwenye bodi ni nani wa kuwaondoa!
 
Wazer
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :
◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
Wazee wa kubalance.
Ili tu kuwafurahisha 5imba.
 
Ngoja mtaona maajabu kwenye tuzo. Jinchi la ajabu kweli hili, kila kona siasa tu

Kwa tulio na D 2 hiyo ni alert call kwa Aziz Ki kuwa uchezaji bora wa msimu kwaheri japo anastahili kwa 100%
 
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :
◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
Hiyo mhabeshi ni tapeli wa soka hana lolote anatembelea nyota ya mafanikio ya vilabu ambayo ni uwekezaji binafsi hana maajabu yoyote.
 
Hiyo mhabeshi ni tapeli wa soka hana lolote anatembelea nyota ya mafanikio ya vilabu ambayo ni uwekezaji binafsi hana maajabu yoyote.
Awa Tff na bodi ya Ligi ni majambazi, Hawaoni haya, Wana Kiburi yaani Wana vunja mpaka kanuni zilizo pitishwa na vilabu.
Yaani wanaona wadau wa soka hawana uwezo wa kuwa Fanya chochote, Viongozi wa hovyo kabisa.
 
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :
◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
Maisha ya kubalance mambo, ndo tifuatifua wajinga sana.
 
Hapo hawajangalia numbers pekee wameangalia ubora waliopanda wachezaji na club hiyo kwa mwezi May kutoka walipokua mpaka walipofikia yanga hajaongeza ubora wowote kwa mwez may ila kamantain uwezo wake ule ule wa kushnda alotoka nao miez ya nyuma
 
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.

Amewashinda wafuatao :
◉ Reliants Lusajo - ⚽ (5) ☑️
◎ Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
◎ Feisal Salum - ⚽ (5)

Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.

Juma Mgunda mwezi Mei 🎖️

◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.

Miguel Gamondi mwezi Mei :

◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.

Aibu naona Mimi.
7 na 6 ipi ni number kubwa?
 
Back
Top Bottom