Vichekesho (Special thread)

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
jamaa flani alienda kwenye kibanda cha mama ntilie akaagizia chipsi na mayai.
mama ntilie wakati anamuekea akamuuliza"vipi nizichanganye???"
jamaa kwa kujifanya anajua kiingereza akajibu"YEAH COMFUSE THEM.."
 
Mhindi aliambiwa amalizie methali za
Kiswahili;
1.Nyani haoni:- valise miwani
2.Debe tupu :- weka dengu
3.Maskini akipata :- itaacha iba
jumbani
4.Penye kuku wengi :- Chinja bili au
tatu
5.Asiyesikia la mkuu :- Peleka yeye
polisi
6.Penye wengi :- iko kutano ya CCM
7.Penye fujo :- hapo iko chadema
8.Bandu bandu? :- Baba yake Somji
iko Bombay
9.Simba mwenda pole :- Huyo
naogopa yanga banah
10.Chovya chovya :- mwisho yake
tapata mimba
11.Mficha uchi :- Bado janyoa huyo
 
Nimevuta picha naskia sauti ya kihindi ikiyajibu hayo yote nimecheka namba 6,7,4,10,8😂
 
Jamaa akiwa ametulia beach mzungu akapita akamuliza jamaa "are u relax?
Jamaa hakuelewa akajib No, mzungu mwingine akamuliza vilele akajib No akaona hapa nasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja amekaa akamuliza
"are u relax? Mzungu akajib
"yes"
jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako.....shenzi, muda wote huo nasumbuliwa kumbe we ndio relax.....🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…