kakakuonana
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 338
- 61
Habari za asubuhi, natumaini mambo yanaenda sawa.
Mimi nina tatizo la kushikwa na vichomi mara baada ya kufanya mapenzi na mara nyingine kwa ajili ya baridi, hasa maeneo ya tumboni, mbavuni na kwenye maziwa.
Naomba kujua ni nini tatizo asanteni sana.
Mimi nina tatizo la kushikwa na vichomi mara baada ya kufanya mapenzi na mara nyingine kwa ajili ya baridi, hasa maeneo ya tumboni, mbavuni na kwenye maziwa.
Naomba kujua ni nini tatizo asanteni sana.