Jaribu kupima mapafuHii hali Ina wiki Sasa nilienda agakhan kupima moyo wakasema uko ok et ni abdomen pain dozi imeisha ngoma pale pale ,msaada kila saa najiskia vichomi juu ya ziwa la kushoto kupapooza nabonyeza na kidole hapo nilipogusa ndo panachoma mpaka nyuma(pichani)View attachment 879630
Inaweza ikawa ni hyo na kuna uwezekano kua mapafu yana ukungu maana hata me nasumbuliwa na tatizo kama hilondo pneumonia et
nilienda aghakhan wakanipima hivi na kusema niko poa ,wakasema ni abdomen pain lakini dozi imeisha vichimi vimeongezekanenda ukafanyiwe vipimo kama ECG ECHO na CXR maana probably ni matatizo ya moyo hayo!! inaweza kua ni Angina ama associated problem!!
Hyo ni ECG ukipima ECHO kama moyo utakua hauna tatizo utaambiwa na kama pafu litakua na tatizo utaambiwa pia kwakua anavyopima anafika mpk kwenye pafu la kushotonilienda aghakhan wakanipima hivi na kusema niko poa ,wakasema ni abdomen pain lakini dozi imeisha vichimi vimeongezeka
View attachment 879772