The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Hii hali Ina wiki Sasa nilienda agakhan kupima moyo wakasema uko ok et ni abdomen pain dozi imeisha ngoma pale pale ,msaada kila saa najiskia vichomi juu ya ziwa la kushoto kupapooza nabonyeza na kidole hapo nilipogusa ndo panachoma mpaka nyuma(pichani)