Vichwa 3 na mabehewa 27 yaingia nchini; kuanza kufanyiwa majaribio hivi karibuni

Vichwa 3 na mabehewa 27 yaingia nchini; kuanza kufanyiwa majaribio hivi karibuni

Wamepiga ngapi hapi akina Abdul and Co?

Hebu tupe bei ili tu Google tujue bei halisi,?
 
Sasa unamsifia mtu kwa kukwepa kodi ati "shujaa" IQ ZERO kabisa.
Mbowe Ndio alikwepa kodi kwenye hotel ya Urithi pale kwa Mchechu ๐Ÿ˜€

Shujaa alifanya kitu inaitwa Tax avoidance ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐ŸŒŸ
 
Wekeni bei walionunulia tujiridhishe kwa kundika E Mail South Korea.

HIzo pesa ni Kodi zetu tutataka tujue mumepora kiasi gani.
 
Muda huu Magufuli angekuwa ndani kichwa kimoja anatesti kuweka switch on mara pooooooooooooooh kapiga honi kidogo anawapiga dongo watani zangu wagogoooo!
na hizi nazo ni kazi za mheshimiwa raisi wa JMT au mimi sijaelewa
 
Hayo mabus ni auto ingekua manual asingeweza kutoa hata cm moja bwashee
Wewe inaelekea hukumjua vizuri Magufuli, wala kujua historia yake. Kwa taarifa yako tu ni kwamba aliwahi kufanya kazi Nyanza, ambako usafirishaji wa pamba ndiyo kazi yao kuu, kwa hiyo kujua kuendesha lori la pamba siyo jambo la ajabu!
 
Back
Top Bottom