Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hayo mabus ni auto ingekua manual asingeweza kutoa hata cm moja bwasheeShujaa Magufuli alipoendesha Basi la Mwendokasi ndipo aliponiacha hoi dadeki ππππ
Shujaa Magufuli alikuwa anaendesha Taxi bubu pale Ubungo Maji, usimchukulie poa bwashee πHayo mabus ni auto ingekua manual asingeweza kutoa hata cm moja bwashee
Kumbe alikuwa chingaShujaa Magufuli alikuwa anaendesha Taxi bubu pale Ubungo Maji, usimchukulie poa bwashee π
Sasa unamsifia mtu kwa kukwepa kodi ati "shujaa" IQ ZERO kabisa.Shujaa Magufuli alikuwa anaendesha Taxi bubu pale Ubungo Maji, usimchukulie poa bwashee π
Unakurupuka tu kujibu bila hata kusoma nilichoandika.Imekuuma Sana hamasπ
The Hill ilikuwa kawaida SanaπKumbe alikuwa chinga
Imekuuma Sana hamas πUnakurupuka tu kujibu bila hata kusoma nilichoandika.
Narudia tena ujinga uzeeni ni ujinga milele.
Mbowe Ndio alikwepa kodi kwenye hotel ya Urithi pale kwa Mchechu πSasa unamsifia mtu kwa kukwepa kodi ati "shujaa" IQ ZERO kabisa.
Jamaa alikuwa mwamba sana πShujaa Magufuli alipoendesha Basi la Mwendokasi ndipo aliponiacha hoi dadeki ππππ
watatest dar to romboKwahiyo wata-test treni au nguvu ya umeme?
na hizi nazo ni kazi za mheshimiwa raisi wa JMT au mimi sijaelewaMuda huu Magufuli angekuwa ndani kichwa kimoja anatesti kuweka switch on mara pooooooooooooooh kapiga honi kidogo anawapiga dongo watani zangu wagogoooo!
Kazi za mwenyekiti wa ufipa!na hizi nazo ni kazi za mheshimiwa raisi wa JMT au mimi sijaelewa
Wewe inaelekea hukumjua vizuri Magufuli, wala kujua historia yake. Kwa taarifa yako tu ni kwamba aliwahi kufanya kazi Nyanza, ambako usafirishaji wa pamba ndiyo kazi yao kuu, kwa hiyo kujua kuendesha lori la pamba siyo jambo la ajabu!Hayo mabus ni auto ingekua manual asingeweza kutoa hata cm moja bwashee
π ππKwahiyo wata-test treni au nguvu ya umeme?