Vichwa 3 na mabehewa 27 yaingia nchini; kuanza kufanyiwa majaribio hivi karibuni

Walete ugali na nyama?

Pumbavu sana wewe
 
Samia anaendelea kufunga mwaka Kwa kishindo
 
Both

Vipi unateseka?
Both kwa uadilifu gani hapa bongo... Sometimes Unafiki na Uchawa ni bora ukauficha kwa kuacha kujibu watu wenye kujua nini cha kuhoji.
 
Maneno yamekuwa mengi mno tunaomba vitendo sasa...
 
Both kwa uadilifu gani hapa bongo... Sometimes Unafiki na Uchawa ni bora ukauficha kwa kuacha kujibu watu wenye kujua nini cha kuhoji.
Actually ubwege wako ndio uufiche because it is stupid to think kila kitu hakiwezekani

Puuzi sana bwege wee
 
Actually ubwege wako ndio uufiche because it is stupid to think kila kitu hakiwezekani

Puuzi sana bwege wee
Chawa ni chawa tu
Siwezi kupoteza muda kubishana na mdudu.
Shame on you CHAWA.
 
Walete ugali na nyama?

Pumbavu sana wewe

Tambua jukwaa hili ni kwaajili ya watu wenye akili timamu, wanaochangia au kubishana kwa hoja.

Ninyi msio na uwezo wa kujenga hoja, na kuishia kutukana watu, hapa siyo mahali pema.

Mods, watu wanaotukana wachangiaji bila sababu za msingi, kanuni zisimamiwe.
 
kiukweli na bila kuacha chochote na nitakuwa nimekamilisha jf kwa sasa imekuwa ni jamvi la matusi bustani la kutukania tafadhalini tujirekebishe
 
Tutauza kwa kuvipima mizani boss!!!
 
ILA kuitwa chawa sio kutukanwa

Shelf your biased crap aisee

Tusifuatane fuatane
 
Aweke picha hatununui mbuzi kwenye gunia
 
Hamna hata kapicha kidogo?

Hamsikii haya kila siku kudanganya? Unakumbuka mara ya kwanza mlisema ni lini hii treni ingeanza kazi?
Ili kumuelewa mwanasiasa chochote anachoahidi wewe geuza kiwe kinyume 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…