Vichwa vya habari miaka kumi ijayo na kuendelea

2043 jimbo la arusha (arusha state) laruhusu uraia pacha, wakazi wake wengi wafurahia. Mwananchi
 
Ujjnga mtupu! Umekosa cha kuandika?
 
Habari itakayonisikitisha nikiisikia nikiwa huko mautini ni ugawanywaji wa bara la africa kwa mabeberu kama ilivyotokea 1880's.China East Afrika yaja.
 
Nadhani Ile Vita ya dawa za kulevya haijafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…