Huoni anasifia? Wewe hakika unasoma kinyumenyume. Hivi shule mlienda kusoma ujingaView attachment 1742265
Mwezi mmoja uliopita usinge thubutu kusoma Nape amchambua Rais John Magufuli.
We kia.zi ulieshiba ugali wa shemeji yako kaa kwa kutulia,tushaanza kuona raha ya kuishi Tanzania.Eti Kuna watu wanategemea jipya kutoka kwa mama wakati nyani walewale ukoo uleule
Awamu iliyokwisha ilikuwa ni Unchanted Territory..., Yaani haieleweki eleweki..., bora hata kama ni uozu huu, utakuwa uozo tuliouzoea ule ilikuwa kesho hatuji una-mutate na kuleta uozo zaidi kwa kiwango kipiEti Kuna watu wanategemea jipya kutoka kwa mama wakati nyani walewale ukoo uleule
Pumbavu kabisaWe kia.zi ulieshiba ugali wa shemeji yako kaa kwa kutulia,tushaanza kuona raha ya kuishi Tanzania.
Hapa inatakiwa uangalifu mkubwa, baadhi ya watumishi watatumia mwanya huu kuwataka rushwa hao waliodhurumiwa haki zao kwa kuwekwa ndani pasipo hatiaNape alisema pia Rais Samia ameonyesha nia ya kuliongoza Taifa kwa kuwatendea haki Watanzania, hasa alipoitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuziangalia na ikiwezekana kuzifuta kesi zisizo na msingi wala uhalali ili kuleta haki.
Sawa inawezekana nyani wale wale lakini wanatofautiana UBABE!!!hiyo tofauti ya ubabe ndio inatupa moyo!!Eti Kuna watu wanategemea jipya kutoka kwa mama wakati nyani walewale ukoo uleule