Vichwa vya treni vilivyotupwa Dar, kutumika kwenye SGR ya Tanzania

Mbona mumepanic na kutumia nguvu nyingi hivi, hehehe hadi raha.
Gazeti la Azania post ni la Kenya?? Umekwenda kuokoteza liblog..
Unajua hiyo blog unayoibeza ya Issa Michuzi ni ya nani? Kwa taarifa yako ni ya mpiga picha wa Ikulu. Wewe ndio umeleta kijiwavuti uchwara ambacho huenda ni chako pia.
 
Haa haa haa haa aiseee nmecheka sana
 
Sasa wewe umeona tuu ukakurupuka ukaweka bandiko bila kujuwa ukweli. Mimi nimekuwekea ukweli na sio mara ya kwanza kukuwekea ukweli hapa.

Taarifa nimezileta kama zilivyo, la kuamini au kutokuamini ni pale wachangiaji watabishana kwa hoja, kunao wachangiaji humu akina Jokakuu na Bak umewakwepa huwajibu umetafuta pa kukimbilia kwa kuburuza blog.
 
Taarifa nimezileta kama zilivyo, la kuamini au kutokuamini ni pale wachangiaji watabishana kwa hoja, kunao wachangiaji humu akina Jokakuu na Bak umewakwepa huwajibu umetafuta pa kukimbilia kwa kuburuza blog.
Hoja yangu hapa ni ya kuleta taarifa za uwongo sio kuchambuwa uwongo. Usijifiche nyuma ya taarifa za uwongo na kulazimisha watu wajadili vitu visivyo vya kweli. Leta mijadala ya ukweli watu wajadili kama vile eurobonad imepotea au serikali ya Kenya imeishiwa pesa nk.
 
hivi si vilionekana kwa namba hizohizo vimeanguka kigoma au sio hivi, na kwani hivyo vinatumia umeme au mafuta?
Hizi ni bongo movie zilizoanzia bandarini,zitapotea kama kishika uchumba cha makinikia
 

Taarifa huandikwa kwenye magazeti tunazileta zijadiliwe, sasa kwenye kujadili ndio utatuaminisha kama ni za uwongo au hapana. Ukiogopa na kukwepa huku ukipiga makelele eti ni za uwongo, hiyo haitatosha kutetea hao wakuu wako.
 
Taarifa huandikwa kwenye magazeti tunazileta zijadiliwe, sasa kwenye kujadili ndio utatuaminisha kama ni za uwongo au hapana. Ukiogopa na kukwepa huku ukipiga makelele eti ni za uwongo, hiyo haitatosha kutetea hao wakuu wako.
Hii ni kama ile ya watanzania wanakula panya, bila hata ya kuelewa taarifa yenyewe ukakimbilia kufungua uzi. Nadhani JF waanze kufikiria jinsi ya kutoza watu hela kufunguwa uzi. Itapunguza hizi nyuzi za kudanganya umma.
 
Hii ni kama ile ya watanzania wanakula panya, bila hata ya kuelewa taarifa yenyewe ukakimbilia kufungua uzi. Nadhani JF waanze kufikiria jinsi ya kutoza watu hela kufunguwa uzi. Itapunguza hizi nyuzi za kudanganya umma.

Nyuzi zitafunguliwa tu ilmradi taarifa zipo kwenye magazeti, mkitaka zisifunguliwe, kuweni wakweli na kuacha figisu.
 
Nyuzi zitafunguliwa tu ilmradi taarifa zipo kwenye magazeti, mkitaka zisifunguliwe, kuweni wakweli na kuacha figisu.
Hii ndio madhara ya kuwa na Short mind
Unaleta Uzi irrelevant Totally.
 
Mbona mumepanic na kutumia nguvu nyingi hivi, hehehe hadi raha.
Gazeti la Azania post ni la Kenya?? Umekwenda kuokoteza liblog..
Tanzania hakuna gazeti linaitwa Azania post. Ukilipata ni tag please
 
Hii habari aliyeleta alikurupuka coz waziri wa ujenzi na uchukuzi alikanushaa hili kwamba sio ya SGR
 
Hiyo mivichwa kwani inasehemu ya kupachikia umeme wa mwendo kasi,au ni lizevu injini ikiwa Umeme utakatika?
Mkikuyu ana panic. Anatulisha porojo za Azania Post alafu anadai eti ni gazeti huku Tanzania. Dunia simama nishuke
 
Mbona leo una machungu sana hivi? Au ni hizi train sura mbaya ndio zimekushtua kutoka usingizini?
 
Mbona leo una machungu sana hivi? Au ni hizi train sura mbaya ndio zimekushtua kutoka usingizini?
Kukudhalilisha kwa kukuumbua hadharani kutokana na kutotumia akili ndiko unakukuita machungu?, huoni kwamba unajidhalilisha kwa kusema locomotive za meter gauge zitatumika katika reli ya SGR, mtu mzima akivuliwa nguo hadharani huwa anachuchumaa haendelei kusimama.
 
Kama hujui kitu kaa kimya kima wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…