Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
ndani ya nini?..wewe ni msafi?!!
umejuaje?
Hongera sana kumgeukia Yesu Kristo wa Nazarethi tuko jeshi kubwa.
hata imekuwa mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya.
Mimi kuwa mchafu hakumafanyi mchafu mwngine kuwa msafi.
Amekuambia alikuwa hayupo ndani ya Kristo....??
Sema anafuta gia ya kufunga ndoa kwenye hayo makanisa ya vichochoroni(makanisa pesa)
Wakamuwekea na nguo maalumu ili asichafuke....Jiulize kama kuna muumini wa kawaida alishawahi ombewa hivyo..
Njaa mbaya sana...
Kama kaamua kuolewa aache kutmbesha hiyo ndo only solution....
Story inapikwa weee inakaangwaa weee eti bwana tapeliUko sawa, aache kugawa hovyo papuchi. Hata hivyo watu wanaogopa kufikwa na majanga kama ya babu Seya maana vigogo wamemgegeda sana tu.
Nakudai au nakufananisha?π±π±π±π
Huyo hakukimbiwa wala kutapeliwaJiachie tu mamaa usiogope ntakulinda. Lete data hizo.