Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
mh!..hizi zingine za kuchongwa, simu za jamaa ziko configured vizuri sana conversation zote za kandokando zinaingia flash, au siku hiyo alijisahau? eh, ngoja nijiondoe zangu mie nilikuwa napita tu!
kilichomsibu muheshmiwa ndo hicho na walopeleka umbea ni waheshmiwa wenzie....ukiamini poa usipoamini poa